Wanawake Warefu (Tall Women)

Dada wewe sio mrefu, my girlfriend is 6.2 I am 5.11, I feel so proud kum win cause lesser men felt intimidated by the height difference
I walk around with her like a king.. [emoji23]
Nimeongezeka I'm 5ft 10 1/2 inches.
Good for you I wish I was 6'5.
Uko vizuri mkuu. Your confidence is admirable.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alale ndiyo umkiss haa haa, na ukiwa huna nguvu unapokea kichapo haswaaaa
 
Lol wewe ni mfupi kiasi gani?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚wala sijakosea nilitaka kuona tu ulivyopanda juu.

@BAK, umepotea au unanyemelea uteuzi? [emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wala sijakosea nilitaka kuona tu ulivyopanda juu.
Nikajua mwenzangu umeteuliwa maana hapa juzi kati kuna teuzi kama tatu zilipita
 
Wow jamani😍😍😍
 
Wanawake warefu ni adimu mkuu nafikiri ndio sababu hata majeshini urefu wa KE uko chini lakini ME wameweka wa juu.
 
Hahaha bahati yako
 
Sema nini, wee tu ni mzuri period

Ulivyosema: kila mtu...'anakuheshimu'...na ... 'kila mtu akikuona anapenda kutoa maoni yake'... hiyo ni lugha ya picha kuonesha ulivyo smart na mrembo kupindukia, saazingine labda wewe mmiliki ulikuwa haulifahamu hilo.

Watu hawawezi kukujadili kama hauna mvuto bhana.

Nikwambie tu kwamba, mwanamke yeyote mrembo hukata ngebe za wabishi na wajuaji bila kujali jinsia, akipita mahali kila mtu lazima awe mpole hiyo ni nature hakuna ubishi.

Sisi kwetu msichana mrefu na msichana mweupe ndiyo urembo wenyewe huo na huaolewa kwa mahari 'ndefu'.

Msichana mrefu ana thamani ya ziada, anahesabika ana thamani kuliko visichana viandunje na ana noun yake huitwa 'ngunguhu'.

Tulipokuwa shule, akipita msichana mrefu utasikia wavulana wanaulizana: 'na ninyi kwenu mnakulaga twiga?'

Kama anavutia utasikia: ' tunakulagaaa, lakini ni nyara za Serikali hizo ukikamatwa unafungwa'.

Na kama havutii utasikia: 'hatulagiiii, kwetu ni mwiko', linafuata cheko la kufa mtu😁🀣🀣.

Hongera sana mrembo.
 
Mawazo yangu.........
Umenikumbusha miaka mingi iliyopita nilipata rafiki wa kike maeneo ya Karagwe...kabila alikuwa kati ya Mnyambo au Muhangaza na kimuonekano alikuwa kama Mnyarwanda......huyu naye alikuwa ni mrefu sana.....sasa katika mambo yetu yale ya kitandani huku chini pia alikuwa na urefu....kile kiswitch cha juu kirefu....ule ufa nao ulikuwa ni mrefu pia alikuwa na kitabu....yaani kijifungu unachambua mpaka upate kile kigololi daah inakuwa si mchezo...sema AMINA... πŸ™‚
 
pia ukivaa high hills unaeza iona kesho yako, lakn pia naskia mmetoboka mno πŸ˜„ just kidding, kwa ujumla Mungu Ali.umba kila Mt kwa mfano wake .
 
piga uwa , na urefu wako ukose hela utaonekana robot , bora hata wafup wataonekn ni watoto tu πŸ˜„ tena uwe mrefu na unatembelea 🦡 ndo kabisa unakua kama wammisionar waeneza injil, au unakuw ka lile limtu kwe wimbo wa roz muhando lirefuu πŸ˜„ cjui ndo secrets agenda πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…