Wanawake Warefu (Tall Women)

Wanawake Warefu (Tall Women)

Sasa haujaelewa nini mkuu?
Nime refer kwa my x [emoji23][emoji23][emoji23]

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Sawa mkuu mie wala simdhanii au yeye kunidhania kama wakwako alivyokuwa akikudhania.Upendo hauchagui aise hapa naona wengi wananogesha kijiwe tu.Wapo wadada wanatongozwa na hao wanaume mnaowaita warefu wenye uwezo wa kifedha na bado wakawakataa ili hali anampenda mfupi asiye na chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wadau natumai siku kwenu inaenda vizuri.
Leo ningependa kuongelea kidogo kuhusu sisi wadada warefu ambao tupo wachache Tanzania. Binafsi mimi nina urefu wa 5'9+ (176cm) na hii nimepimwa nikiwa sijavaa chochote miguuni. Nikivaa kiatu chochote au hata ndala, moja kwa moja nakuwa 5'10+. Na nikivaa high heels nakuwa 6'0+.

Sababu kuu ilionifanya niwe mrefu ni "genetics", wazazi wangu wote ni warefu ingawa sio sana. Pia chakula nilichopatiwa nilivokuwa mdogo hasa hasa protein iliyonowezesha kukua mpaka kufikia kimo changu halisi.

Urefu una raha zake kwasababu, watu wanakuheshimu hata kama hawakufahamu vizuri. Wanakuona una busara na unaweza kuwa kiongozi. Pia unaonekana kwa urahisi zaidi kwenye umati wa watu na ukivaa nguo zinakukaa.

Urefu pia una shida zake kama vile, kupata nguo na viatu ni kazi kuliko wanawake wenye maumbo ya kawaida. Nguo hazitoshi na ukikuta inayokutosha mara nyingi kiuno (sana sana kwa suruali) kinakuwa kikubwa. Viatu ndo hata siongei vile vya kidada dada mara nyingi ni vidogo sana na mpaka kuja kupata vinavyonitosha na bei inapanda. Kingine ni kwamba sio kila siku mtu unapenda kuoneka kuna wakati unataka uwe "low profile" lakini hii haiwezekani. Kingine ni kwamba kila mtu akikuona ana penda kutoa maoni yake. Utasikia mara ooo hupati mume, au urefu wako umezidi au kwanini usiwe model hatakama haupendelei hiyo fani.

Hata hivyo napendelea kuwa mrefu na nina pendelea urefu wangu ingawa nilivokuwa mdogo niliuchukia sana. Lakini pia ningekuwa na uwezo wakuubadilisha ningependa kuongezeka nifikie 180cm au zaidi.

Asanteni. Nakaribisha mawazo yenu.
@Wordsworth, nimetafta sana mwanawake mrefu kwa mda pasipo mafanikio(kutokana na maeneo yangu nilokuwa nafanyia kazi,kigoma) naona now ndo mda mwafaka, mungu kanionyeshea nuru kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu mie wala simdhanii au yeye kunidhania kama wakwako alivyokuwa akikudhania.Upendo hauchagui aise hapa naona wengi wananogesha kijiwe tu.Wapo wadada wanatongozwa na hao wanaume mnaowaita warefu wenye uwezo wa kifedha na bado wakawakataa ili hali anampenda mfupi asiye na chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kila mmoja anatamba kwenye anga zake mkuu.
Kuna wanaume pia hawataki wanawake warefu.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
Habari zenu wadau natumai siku kwenu inaenda vizuri.
Leo ningependa kuongelea kidogo kuhusu sisi wadada warefu ambao tupo wachache Tanzania. Binafsi mimi nina urefu wa 5'9+ (176cm) na hii nimepimwa nikiwa sijavaa chochote miguuni. Nikivaa kiatu chochote au hata ndala, moja kwa moja nakuwa 5'10+. Na nikivaa high heels nakuwa 6'0+.

Sababu kuu ilionifanya niwe mrefu ni "genetics", wazazi wangu wote ni warefu ingawa sio sana. Pia chakula nilichopatiwa nilivokuwa mdogo hasa hasa protein iliyonowezesha kukua mpaka kufikia kimo changu halisi.

Urefu una raha zake kwasababu, watu wanakuheshimu hata kama hawakufahamu vizuri. Wanakuona una busara na unaweza kuwa kiongozi. Pia unaonekana kwa urahisi zaidi kwenye umati wa watu na ukivaa nguo zinakukaa.

Urefu pia una shida zake kama vile, kupata nguo na viatu ni kazi kuliko wanawake wenye maumbo ya kawaida. Nguo hazitoshi na ukikuta inayokutosha mara nyingi kiuno (sana sana kwa suruali) kinakuwa kikubwa. Viatu ndo hata siongei vile vya kidada dada mara nyingi ni vidogo sana na mpaka kuja kupata vinavyonitosha na bei inapanda. Kingine ni kwamba sio kila siku mtu unapenda kuoneka kuna wakati unataka uwe "low profile" lakini hii haiwezekani. Kingine ni kwamba kila mtu akikuona ana penda kutoa maoni yake. Utasikia mara ooo hupati mume, au urefu wako umezidi au kwanini usiwe model hatakama haupendelei hiyo fani.

Hata hivyo napendelea kuwa mrefu na nina pendelea urefu wangu ingawa nilivokuwa mdogo niliuchukia sana. Lakini pia ningekuwa na uwezo wakuubadilisha ningependa kuongezeka nifikie 180cm au zaidi.

Asanteni. Nakaribisha mawazo yenu.
Picha iko wapi sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitambo nilipokuwa primary school nilikuwa na ile mentality kuwa watu warefu wana akili sana kadiri nilivyokuwa na kujitambua niligundua watu wengi warefu Ke na Me uelewa wao ni mudogo sana,na hadi sasa kwa kweli watu wengi niliokutana nao warefu kwa kweli uelewa wao upo chini sana.
By the way Mungu hakupi kila kitu
 
Wanawake warefu sana havutii kabisa hata uwe na tako km beseni bado unaonekana kawaida hushtui kabisa

Mna hulka ya dharau ndo maana hampati waume kirahisi au mahusiano yenu hayadumu mnaishia kutumiwa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom