Wanawake warembo wa sura na umbo ukiwatongoza hawakatai, kimbembe wale wa upande wa pili, hivi ni kwa nini?

Wanawake warembo wa sura na umbo ukiwatongoza hawakatai, kimbembe wale wa upande wa pili, hivi ni kwa nini?

John Cannor

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2016
Posts
1,464
Reaction score
1,825
Niaje watu wazima wenzangu..?
Hivi siku hizi mambo yamekuwa viceversa? Ndani ya wiki mbili nimetongoza wanawake kama nane hivi, wawili nishawashughulikia ni wakali balaa...wala hata sikuamini kama ntawachapa nao.

Katika hao nane, watano ni mobeto haswa {kwa mtazamo wangu lakini , na hata gentlemen rijali ukiwaona lazima uwatolee mate} ..hao watatu daah ni kusema ugumu tu ukizidi unapunguza..huwezi kwenda nao public place ukachill nao, hawana mvuto kwa kifupi.

Cha ajabu hao watatu kila nikiwatupia sound full kunitukana na kunidharau..nikaona siyo ishu, hao mobeto wengine wala hawana hiyana kiroho safi na kuna mmoja weekend amesema ananitembela ninapoishi, kibla tayari.! Sasa najiuliza inakuaje watoto warembo wametiki lakini vile vigagula vimenitoselea mbali.
  • Ni kwamba wanajielewa?
  • wanajiamini?
  • hawajiamini?
Na hawa warembo vipi mbona imekuwa kusukuma mlevi....ni kwamba..
  • Wana ngoma nini, so hawana cha kupoteza?
  • Au ndo desemba hii wanatafuta expansion joints
  • Nimewavutia?
NB; Furaha yangu hao warembo hakuna hata mmoja aliyenipiga mzinga.!!😀😀😀
 
Wengine si wanajua unawaenjoy!
 
Vigagula wanajua thamani yao ila hao wa mvuto wanaishi mjin kwakutegemea huo uzur wao hvyo hawawez kukataa mtu mahesabu ya siku yatapungua
Aiseee! Mi huwa nachoka sana ..na huwa naamini hao ndo wife material..lakini cha ajabu hata uwafuate na nidhamu yote wanakutupila mbali...sijui kwa nini?
 
Sometime unakuwa very serious, lakini wapi? hawajiamini au? Noo
Afu huwa wanapenda kutembea visu vikali sijui kwanini??!!au ndo kwenye msafara wa mamba!hahaha lakini madem wenye sura za kikauzu ndo wazuri asee ila akikuganda utamuhurumia
 
Vigagula kwanza hawajiamini , ukiwatongoza masharti kibao
 
Back
Top Bottom