John Cannor
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 1,464
- 1,825
Niaje watu wazima wenzangu..?
Hivi siku hizi mambo yamekuwa viceversa? Ndani ya wiki mbili nimetongoza wanawake kama nane hivi, wawili nishawashughulikia ni wakali balaa...wala hata sikuamini kama ntawachapa nao.
Katika hao nane, watano ni mobeto haswa {kwa mtazamo wangu lakini , na hata gentlemen rijali ukiwaona lazima uwatolee mate} ..hao watatu daah ni kusema ugumu tu ukizidi unapunguza..huwezi kwenda nao public place ukachill nao, hawana mvuto kwa kifupi.
Cha ajabu hao watatu kila nikiwatupia sound full kunitukana na kunidharau..nikaona siyo ishu, hao mobeto wengine wala hawana hiyana kiroho safi na kuna mmoja weekend amesema ananitembela ninapoishi, kibla tayari.! Sasa najiuliza inakuaje watoto warembo wametiki lakini vile vigagula vimenitoselea mbali.
Hivi siku hizi mambo yamekuwa viceversa? Ndani ya wiki mbili nimetongoza wanawake kama nane hivi, wawili nishawashughulikia ni wakali balaa...wala hata sikuamini kama ntawachapa nao.
Katika hao nane, watano ni mobeto haswa {kwa mtazamo wangu lakini , na hata gentlemen rijali ukiwaona lazima uwatolee mate} ..hao watatu daah ni kusema ugumu tu ukizidi unapunguza..huwezi kwenda nao public place ukachill nao, hawana mvuto kwa kifupi.
Cha ajabu hao watatu kila nikiwatupia sound full kunitukana na kunidharau..nikaona siyo ishu, hao mobeto wengine wala hawana hiyana kiroho safi na kuna mmoja weekend amesema ananitembela ninapoishi, kibla tayari.! Sasa najiuliza inakuaje watoto warembo wametiki lakini vile vigagula vimenitoselea mbali.
- Ni kwamba wanajielewa?
- wanajiamini?
- hawajiamini?
- Wana ngoma nini, so hawana cha kupoteza?
- Au ndo desemba hii wanatafuta expansion joints
- Nimewavutia?