Wanawake warembo wa sura na umbo ukiwatongoza hawakatai, kimbembe wale wa upande wa pili, hivi ni kwa nini?

Hahahha...inategemea na unavyomtokea wanaume wengne hawajui kutongoza unakuta mwanaume unaanza jisifia mpk kero unajifananisha na bill gate

Ukitaka unikimbize aisee anza kujisifia kwakweli mwanamume wakujisfia anakera ! yaan anajipa flag weeeee argh !ukiwa silent unabeba mizigo ya hatar !kudos kwa wanaume mnaojitambua!

[umenikumbusha mbali ]
 
Ukitaka unikimbize aisee anza kujisifia kwakweli mwanamume wakujisfia anakera ! yaan anajipa flag weeeee argh !ukiwa silent unabeba mizigo ya hatar !kudos kwa wanaume mnaojitambua!

[umenikumbusha mbali ]
Hahaha...wanakera sana aisee halafu akiwa na kigari cha kuazima ndo utamkoma anavyochezesha funguo
 
Tuendelee tu hadi tupate tanzania ya viwandaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
ulisikia wenzako wakisema wife material.mpa hapo ujajua jibu
 
Kwanini huwa mnajiamini nakutoa majibu ya shombo?
Kwa sababu wanawake tulojaliwa kiasi haraka sana tunawajua ma play boy,, mwanamke mrembo.kiasi hatumik sana kama wanawake wazur sana,,
 
Kweli vigagula wengi wagumu lakini ukiwapata watamm, kwanza huwa hawajiamini wanaisi mwanaume unataka kumchezea, kutukana ni defence way 2 ukimbana vizuri anakupa dochvere
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…