GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
HAiombwi hivyo mama.Nimetulia jamani, nazeeka sasa mnioe 😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAiombwi hivyo mama.Nimetulia jamani, nazeeka sasa mnioe 😹
Wapo wapo wachache huko vijijiniWako wapi wanawake wife material?
😂Hawapo hivyo unanidanganya bhanaTupo ila tuna matatizo zaidi ya hayo 😂😩😭
1.Tunasumbuliwa na iron deficiency.
2.Hatupendi kufanya
3.Tunapenda ticktock
4.Tuna kisirani na maringo tuko moody 24/7 😅
5.Hatufanyi house chores
Utawezana? bora hao wanaocheat.
Lilith eti wewe ni gold digger?Mmmh jina lenyewe qashy=cash
Pita mbali mita miaaa 🤣🤣🤣🚶🏼➡️🚶🏼➡️🚶🏼➡️🚶🏼➡️😊🏃🏼➡️🏃🏼➡️🏃🏼➡️🏃🏼➡️
Fresh tuMambo
Hapana 😂Lilith eti wewe ni gold digger?
😂😂Mbona unataka kunitorokaMmmh jina lenyewe qashy=cash
Pita mbali mita miaaa 🤣🤣🤣🚶🏼➡️🚶🏼➡️🚶🏼➡️🚶🏼➡️😊🏃🏼➡️🏃🏼➡️🏃🏼➡️🏃🏼➡️
HIzi ni sifa za mabinti wengi wa sasa.Tupo ila tuna matatizo zaidi ya hayo 😂😩😭
1.Tunasumbuliwa na iron deficiency.
2.Hatupendi kufanya
3.Tunapenda ticktock
4.Tuna kisirani na maringo tuko moody 24/7 😅
5.Hatufanyi house chores
Utawezana? bora hao wanaocheat.
ajira/kazi mbalimbaliIla sasa msiponipa Hela how will I pay my bills 😹😹😹😹
Dada unavigezo kweli?Fresh tu
😅😅😅 shauri yako.😂Hawapo hivyo unanidanganya bhana
You have missed the joke homie!HIzi ni sifa za mabinti wengi wa sasa.
Ajira ni adimuajira/kazi mbalimbali
Kwa wanaume hawa maharage ya Mbeya 😹HAiombwi hivyo mama.
Hapana wewe lete bata tuchemshe supu tunywe babe 😹Subiri subiri nitafute pesa.
My apology, i didn't get itYou have missed the joke homie!
Hivi unanitongoza.?Hapana wewe lete bata tuchemshe supu tunywe babe 😹
Pesa sina matumizi nazo mimi 😜