Wanawake watulivu waungwana, wasio cheat wacha Mungu, mko wapi?

Tupo ila tuna matatizo zaidi ya hayo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ฉ๐Ÿ˜ญ

1.Tunasumbuliwa na iron deficiency.
2.Hatupendi kufanya
3.Tunapenda ticktock
4.Tuna kisirani na maringo tuko moody 24/7 ๐Ÿ˜…
5.Hatufanyi house chores

Utawezana? bora hao wanaocheat.
 
Tupo ila tuna matatizo zaidi ya hayo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ฉ๐Ÿ˜ญ

1.Tunasumbuliwa na iron deficiency.
2.Hatupendi kufanya
3.Tunapenda ticktock
4.Tuna kisirani na maringo tuko moody 24/7 ๐Ÿ˜…
5.Hatufanyi house chores

Utawezana? bora hao wanaocheat.
๐Ÿ˜‚Hawapo hivyo unanidanganya bhana
 
Lilith eti wewe ni gold digger?
 
Hawapo!

Yupo mmoja alimuamini sana!

Alipokuja mama mkwe akaamua ku cheat Kwa hasira eti amejiona Hana thamani!!

Mitara ndio suluhisho!
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Mbona unataka kunitoroka
 
Mwenyewe niko nawatafuta japo niopoe mmoja humu ili amfae kakangu lakini naona hamna๐Ÿค’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ