mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,983
- 6,171
Hakuna mwanamke mbaya,wote ni wazuri. Kinachowatofautisha ni kwamba kila mwanaume ana vigezo vyake katika kuchagua. Wengine akili za darasani,wengine akili za maisha, miguu,kia,sura nk.
Mimi kwa mwanamke anayejua kupika hata afanane na Semenya kwangu mzuri tu.
Mimi kwa mwanamke anayejua kupika hata afanane na Semenya kwangu mzuri tu.