Wanawake wazuri wote tumeumbiwa sisi wanaume, kwanini ujifunge na kwenda kuoa mwanamke mbaya?

Wanawake wazuri wote tumeumbiwa sisi wanaume, kwanini ujifunge na kwenda kuoa mwanamke mbaya?

Hakuna mwanamke mbaya,wote ni wazuri. Kinachowatofautisha ni kwamba kila mwanaume ana vigezo vyake katika kuchagua. Wengine akili za darasani,wengine akili za maisha, miguu,kia,sura nk.
Mimi kwa mwanamke anayejua kupika hata afanane na Semenya kwangu mzuri tu.
 
Haya mawazo cjui nan aliwaaminisha jamn. Wazuri ndo wa koa

[emoji375][emoji375]
Hahaha uoe mke ambaye anagongwa na kila mtu and she's proud of it? You must be insane man. Wanawake wazuri wanatamaniwa sana na kila mtu. Labda uoe kisha uwe unamfuga nyumbani tu awe haendi kazini. Ila kama anatoka toka wahuni watakutombea tu halafu amna kitu inaumiza kwenye ndoa kama kujua mke wako watu wanamtomba nje, yani aheri awepo nyumbani full time unakuwa na amani kidogo japo pia anaweza jiiba akapigwa mashine nje.
 
wanawake wazuri huringia uzuri wao.. tena wakipita mtaani wakasikia ile mirusi ya wanaume ya psii psii, ndio kabisaaa wanapatwa na vibumbuwazi, huwez kumuelezea kitu, huwez sema leo sina hela ya chakula wala ya mapodozi akakuelewa wakati huo. njiani kuna offer za mikuku zinamsubiria.. me naamin mwanamke mbaya ndie mjengaji, ila mwanamke mzuri ni mbomoaji, ukiona mwanamke mzuri katulia ktk ndoa jua ana umri zaidi ya 30+, na ashavunja ndoa si chini ya 5+ ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hiki ndio wahuni tunahofia. Itakuwaje siku maisha yakiyumba? Atavumilia kweli huyu au ndio atageuka mashine ya kunimaliza na stress nife kabla ya umri. Je,ni mtu muelewa na msikivu huyu mwanamke. Yupo tayari kunilindia heshima hata nikiwa sina? Ataweza kule watoto wangu hata nikiwa sipo? Thats a type of wife all of us want to marry, hayo mengine mbwembwe za ujana tu!
 
Hahaha uoe mke ambaye anagongwa na kila mtu and she's proud of it? You must be insane man. Wanawake wazuri wanatamaniwa sana na kila mtu. Labda uoe kisha uwe unamfuga nyumbani tu awe haendi kazini. Ila kama anatoka toka wahuni watakutombea tu halafu amna kitu inaumiza kwenye ndoa kama kujua mke wako watu wanamtomba nje, yani aheri awepo nyumbani full time unakuwa na amani kidogo japo pia anaweza jiiba akapigwa mashine nje.
Dah,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha hiki ndio wahuni tunahofia. Itakuwaje siku maisha yakiyumba? Atavumilia kweli huyu au ndio atageuka mashine ya kunimaliza na stress nife kabla ya umri. Je,ni mtu muelewa na msikivu huyu mwanamke. Yupo tayari kunilindia heshima hata nikiwa sina? Ataweza kule watoto wangu hata nikiwa sipo? Thats a type of wife all of us want to marry, hayo mengine mbwembwe za ujana tu!
Na hata ukioa mbaya na sisi wahuni tutataka kujua huyo mmbaya lazima ana cha ziada kilichopelekea ukamuweka ndani,, so tutakitafuta tu hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hata ukioa mbaya na sisi wahuni tutataka kujua huyo mmbaya lazima ana cha ziada kilichopelekea ukamuweka ndani,, so tutakitafuta tu hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri wabaya huwa waaminifu compared na wale ng'ae ng'ae ambao toto jeupe, shape ka Uwoya aisee. Jifunzeni hata kwa Dogo Janja basii!!! Si alioa mke mzuri sana, leo kiko wapi!
 
Wanaume wenzangu mnatakiwa mtambue kwamba kuwa na mwanamke siyo kosa ila kuwa na mwanamke mbaya asiye kidhi vigezo vyako ni kosa lako mwenyewe usilaumu na kutamani wake za wenzako,

Mungu kaumba kila Aina za wanawake kazi ni kwako tu kuchagua yule atakaekufaa,

Kuna msemo wa kwamba hakuna mwanamke mbaya duniani ila mimi leo mr Zero IQ nakwambia kwamba wanawake wabaya wapo na wanaishi,

Unayemuona kwako mzuri basi kwa mwenzako anaweza kuwa mbaya sasa cha kufanya unatakiwa useme na Moyo wako,

Wewe moyo wako unatamani wanawake wenye chura kwa kujivunga unaenda kuoa mwanamke kimbau mbau kweli Tamaa itakuishia, migogoro itaisha kwenye Ndoa?

Moyo ukitaka tipwa tipwa tafuta liweke ndani, ukitaka mwenye chura kama snura tafuta Vuta weka ndani, ukitaka slim kama miss wema wa 2006 tafuta vuta weka ndani,

Ya nini udhulumu Nafsi yako.

CC Zero IQ
Dogo Janja anauwezo mkubwa wa kujibu hii mada. Naimani atakueleza kwa kina kwanini wenzake tunaoa wake wa kawaida yeye akaoa mke mzuri kweli. Kilichomtokea mwisho wa picha kiko wazi. So,usituone kama machizi kuoa mama za kawaida hizi.
 
Unadhani watu hawapendi kuoa wanawake wazuri mkuu...shida ni kuwa mwanaume unatongoza wanawake wazuri, hlf unakataliwa..sasa MTU inabidi uoe unachoweza kupata Zero IQ
Hahaha wanawake wazuri mbona ndio rahisi kuwapata kuliko hawa wenye sura za wajomba zao mkuu! Hebu noa skills zako za ushawishi!
 
Type 1 kind of women: unaweza ukampata mwanamke mzuri kisura na kiumbo sema akawa Pasua kichwa (hakupendi kihivyo, anakudharau, anakuletea drama, anakuchuna pesa, hajui hata kupika etc)

Type 2 kind of women: Au ukampata mdada ambae kwa kweli sio mzuri, na hakuvutii kabisaa, lkn anakupenda anaku-treat vizuri kama mfalme etc

Sasa wanaume wengine wasiopenda complications na presha huoa type 2 kind of women... Extrovert
Im also marrying Type 2. Ndio mwanamke nitakaeishi nae for good aisee!
Hao Type 1 labda ningekuwa Mo Dewj inshort kama una uhakika wa maisha yote kuwa hutayumba kifedha then date nao. Maana pesa yako ndio huwa inashikilia penzi, ikipungua au kukata umeishaaa my friend!
 
Wanaume wenzangu mnatakiwa mtambue kwamba kuwa na mwanamke siyo kosa ila kuwa na mwanamke mbaya asiye kidhi vigezo vyako ni kosa lako mwenyewe usilaumu na kutamani wake za wenzako,

Mungu kaumba kila Aina za wanawake kazi ni kwako tu kuchagua yule atakaekufaa,

Kuna msemo wa kwamba hakuna mwanamke mbaya duniani ila mimi leo mr Zero IQ nakwambia kwamba wanawake wabaya wapo na wanaishi,

Unayemuona kwako mzuri basi kwa mwenzako anaweza kuwa mbaya sasa cha kufanya unatakiwa useme na Moyo wako,

Wewe moyo wako unatamani wanawake wenye chura kwa kujivunga unaenda kuoa mwanamke kimbau mbau kweli Tamaa itakuishia, migogoro itaisha kwenye Ndoa?

Moyo ukitaka tipwa tipwa tafuta liweke ndani, ukitaka mwenye chura kama snura tafuta Vuta weka ndani, ukitaka slim kama miss wema wa 2006 tafuta vuta weka ndani,

Ya nini udhulumu Nafsi yako.

CC Zero IQ
Nimekuelewa Mr.Zero IQ
Kipendacho roho kula nyama mbichi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wenzangu mnatakiwa mtambue kwamba kuwa na mwanamke siyo kosa ila kuwa na mwanamke mbaya asiye kidhi vigezo vyako ni kosa lako mwenyewe usilaumu na kutamani wake za wenzako,

Mungu kaumba kila Aina za wanawake kazi ni kwako tu kuchagua yule atakaekufaa,

Kuna msemo wa kwamba hakuna mwanamke mbaya duniani ila mimi leo mr Zero IQ nakwambia kwamba wanawake wabaya wapo na wanaishi,

Unayemuona kwako mzuri basi kwa mwenzako anaweza kuwa mbaya sasa cha kufanya unatakiwa useme na Moyo wako,

Wewe moyo wako unatamani wanawake wenye chura kwa kujivunga unaenda kuoa mwanamke kimbau mbau kweli Tamaa itakuishia, migogoro itaisha kwenye Ndoa?

Moyo ukitaka tipwa tipwa tafuta liweke ndani, ukitaka mwenye chura kama snura tafuta Vuta weka ndani, ukitaka slim kama miss wema wa 2006 tafuta vuta weka ndani,

Ya nini udhulumu Nafsi yako.

CC Zero IQ
Kuna wanawake wazuri yani wameumbika yani yani akipita watu asilimia 90 wanakubali kweli mwanamke ni kisu, hawa wanaume wengi tunaogopa kuoa kuogopa preshaa ila tunajipa ile 'nikipata hela nitawatafuna sana wanawake wa hivyo'
Wengi wanajikuta waona wanawake wa kawaida, hawa hawashtui kabisa, hata akipita story hazibadili wala shingo hazigeuki, huwa tunakimbilia kusema hawa wanatabia nzuri yani wametulia.
Kudi la tatu ndiyo wale wanaoitwa wabovu, yani hawa hata mtu kutambulisha huyu ndiyo wife wangu au mchumba wangu inakuwa ngumu, kwa maana hiyo jamii nzima na wenyewe binafsi wanajua kuwa chombo kibaya, hivyo basi ni kweli kuwa wazuri na wabaya wanaonekana tusijifiche kwenye ile 'Uzuri upo ndani ya jicho la mwenyekuona' ni uongo mkubwa.
 
Wanaume wenzangu mnatakiwa mtambue kwamba kuwa na mwanamke siyo kosa ila kuwa na mwanamke mbaya asiye kidhi vigezo vyako ni kosa lako mwenyewe usilaumu na kutamani wake za wenzako,

Mungu kaumba kila Aina za wanawake kazi ni kwako tu kuchagua yule atakaekufaa,

Kuna msemo wa kwamba hakuna mwanamke mbaya duniani ila mimi leo mr Zero IQ nakwambia kwamba wanawake wabaya wapo na wanaishi,

Unayemuona kwako mzuri basi kwa mwenzako anaweza kuwa mbaya sasa cha kufanya unatakiwa useme na Moyo wako,

Wewe moyo wako unatamani wanawake wenye chura kwa kujivunga unaenda kuoa mwanamke kimbau mbau kweli Tamaa itakuishia, migogoro itaisha kwenye Ndoa?

Moyo ukitaka tipwa tipwa tafuta liweke ndani, ukitaka mwenye chura kama snura tafuta Vuta weka ndani, ukitaka slim kama miss wema wa 2006 tafuta vuta weka ndani,

Ya nini udhulumu Nafsi yako.

CC Zero IQ
Naam
 
Back
Top Bottom