acheni uongo wazuri hawajazaliwa sasa si utaoa vitoto vyako
Kwanza hawa mnaowaita wazuri si ndo wale kina. . wa maeneo fulani na magazetini au nakosea?
Bila shaka upo ktk balehe ya kwanza, sisi tuliozoea tunasema wazuri ni wengi na kila kukicha wanazaliwa, pia inabidi ujue maana ya uzuri wa mwanamke kimaana halisi.