jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,983
- 1,423
Ninashida moja kila mwanamke nitakayemuona nimzuri na anamvuto kwangu naambiwa tayari alikwisha kuolewa au amechumbiwa..
Najiuliza kwa hiyo wanawake wabaya wote ndiyo hawajaolewa au kuchumbiwa?
Tambua hili Kama haujaolewa au kuchumbiwa na wewe nakuweka kwenye group la wanawake wabaya na wasiokuwa na mvuto kwangu..
Najiuliza kwa hiyo wanawake wabaya wote ndiyo hawajaolewa au kuchumbiwa?
Tambua hili Kama haujaolewa au kuchumbiwa na wewe nakuweka kwenye group la wanawake wabaya na wasiokuwa na mvuto kwangu..