Wanawake wengi huondoka na watoto wakidhani wanaume watawafuata. sijui nani aliwadanganya kuwa mwanaume mtego wake ni mtoto

Hakuna mwanamke anayependa mtoto/watoto wakr walelewe na mtu mwingine zaidi yake. Hivyo kuondoka na watoto wake ni kwasababu anajiamini yeye tu ndie mwenye mapenzi na huruma na watoto wake.

Kuondoka tutaondoka tu maana hata sisi tunaitaka hiyo amani ya moyo. Eti "usipokula kwa ajili yake" weeeeeh🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Du,mwamba umepiga pale pale kwenye mchilizi wa mbele.
Hii iwafikie wenye mbususu na wajifunze how to handle their husband.
 
Kuja jilani yangu hapa mkewe wa ndoa kabeba vitu vyote vya ndani, kabeba vyeti vya ndoa kaondoka kwake, mumewe na yeye kajifanya hakuna kilichotokea kahamia mtaa mwingine ni mwaka sasa hata mawasiliano na mkewe hana alimwambia neno moja tu umeondoka kama maji.
 
"Huo wali unaochezea, Baba yako anaijua bei ya mchele?" Alisikika dada mmoja aliyeachika.
 
Una mtindio wa ubongo wewe! Sio bure! Kama mumeo alikuwa chizi usitufananishe naye!
Na machizi lazima wapanic, pole mkuu kunywa maji mengi kichaa haupo peke yako..!! 😹
 
Wanaume walevi linapokuja suala la bichwa la chini hamjui hao km watoto zenu…!!
Halafu unakuta humwamini baba watoto wako,halafu unakuja kumwamini huyo uliye nae na kumlazimisha apende na watoto wako na sometimes mnwachia watoto. Baba wa kambo mnaodate nao wengi wao mtaani wana kesi nyingi za kula kuku na vifaranga vyake.
 
Ni wachache wenye dhana hiyo! Lakini wanawake wengi wanaondoka na watoto kwa sababu wanaamini kuwa wanaume hawana uchungu nao kuliko wao! Kwa sababu hiyo wanaamini hawawezi kuwatunza ipasàvyo kitu ambacho ni sahihi.
Mama ndiye mwenye uchungu zaidi na mtoto kuliko baba.
 
Huu uzi umefumua vidonda vya single mothers kadhaa humu, si kwa matusi ninayoyaona humu ktk comments. Mtoa Uzi usirudie tena Uzi kama huu....matusi yamekuwa mengi mno.
 
Upo sahihi kabisa
 
Ni kweli kipindi nipo na mama wa toto hapo kwa hapo inabidi nizimue kila siku ili nizipuuzie lawama zake za kila saa
Ilifikaaje hatua hiyo, kutoka mapenzi motomoto hadi kuamua kuwa pamoja hadi lawama kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…