Wanawake wengi mnapozwa na kauli zenu

Wanawake wengi mnapozwa na kauli zenu

Zingatia kama umewahi kumwambia mume wako hizo kauli jitafakari Mara mbilimbili, kwa maana ukweli Ni kuwa anazo kichwani hata Kama Bado Ana sex na wewe ni muda tu anasubiri!
Cha ajabu kipi hapo kuachana kupo hata kama ukiwa “BUBU”
 
Nilichokiona Ni kuwa wanawake wengi Wana kauli za kukera na Ni wepesi kusahau,
Kuna kauli ukimtamkia mume wako Katu hatasahau na Ana kuvutia kasj tu akupige tukio!
Sasa jamani hizo kauli za kawaida tuu....tatizo ego zetu vidume.
Ukweli ni kwamba sio kila mwanaume anamridhisha demu wake...wengine tukubali hatuji na hatutokuka kujua kutomber.

Ndio ni mwanamke hence atatongozw nawanaume wengi tuu

Yes there are men out there that have more than u.
Sasa wee cha kuzingatia ni anakupa mbususu basi. Kama hakupi huyo fukuza.
 
Jinsia yenu ina matatizo sana kujikuta ni kamilifu,mbona na nyinyi mna kauli chafu kuzidi hata hizo ulizo andika.
Wee tulia km moja pepo yenu ipo miguuni kwetu..mtuheshimu wanaume..!
 
Back
Top Bottom