Wanawake wengi wakimaliza ujana, wataanza kuomba wapate mume

Wanawake wengi wakimaliza ujana, wataanza kuomba wapate mume

Haya ya dizaini hii hayaoleki, haya huwa tunachapa na kuchapa lapa mbele. Baada ya muda utasikia kwenye simu nina mimba ni yako sikuwahi kudeti na mtu zaidi yako nipe mahaitaji na ujiandae kwa uzazi hospitalini. Yanazingua sana mawanawake hayo katika mahusiano ya kimapenzi. Mengine yana kucha ndefu yanakula kwa kijiko na uma tu, ni marembo
 
Haya ya dizaini hii hayaoleki, haya huwa tunachapa na kuchapa lapa mbele. Baada ya muda utasikia kwenye simu nina mimba ni yako sikuwahi kudeti na mtu zaidi yako nipe mahaitaji na ujiandae kwa uzazi hospitalini. Yanazingua sana mawanawake hayo katika mahusiano ya kimapenzi. Mengine yana kucha ndefu yanakula kwa kijiko na uma tu, ni marembo
 
Wanawake wengi wakimaliza ujana, wataanza kuomba wapate mume, wakipata, watatupilia mbali mara moja ahadi zote walizotoa kwa Mungu baada ya kupata mtu asiye na hatia.

Wanawake wengi wanaokula ujana, wakimaliza na kujiona wamechelewa kuolewa, wataanza kuingia makanisani ama misikitini wakiomba kwa Mungu wapate mume ilihali watafanyq maisha ya mtoto wa mtu yawe ya taabu na ya bahati mbaya baada ya kupata watoto.

Wanaume wengi wanapitia mengi kwenye ndoa lakini hawatasema kwa sababu jamii haitawaamini.

Wengi wao wanatamani sana kumvutia mwanaume mmoja na kumbana kwa chochote wanachoweza lakini hawawezi kuweka juhudi sawa za kumbakisha mwanaume huyo. Baada ya mtoto mmoja au wawili, tahadhari huelekezwa kabisa kwa watoto. Lengo la muda mrefu ni watoto, sio wewe.

Jambo chungu zaidi ni kukusaliti na kukuletea magonjwa ya ajabu ambayo wanaume wengi hawajawahi umwaga.

Wafalme, sikilizeni..

Ukiona mwanamke mrembo mwenye umri wa zaidi ya miaka 30+ ndio tatizo.
Acha tu usimuoe.

Wewe si bora kuliko wale wanaume ambao walimwona ndani yake akiwa na miaka 18-27 na hawakuoa. Walimkataa kwa sababu.

Kuwa mwangalifu, usipuuze alama nyekundu.

Tafadhali jifunze upone au puuza uangamie.
Ndio kusema vijana wa jamvi hili ubunifu wa mandishi imeisha mpk mnaleta storibisio na mwisho wa kataa ndoa🤔
 
Hakuna papuchi tamu kama ya x girlfriend na mwanamke mlevi, X anaitoa yote kama haina mkopo ili nae umuone kawa mtaalamu kama porn Star.

Mlevi nae huyu ukipata dunia utaomba isimame kwanza na ulevi umbaki kichwani milele. Anatoa papuchi kama Hela ya kikoba🤣🤣🤣

Lakini X girlfriend hata atowe papuchi vipi usirejee hio kiporo hajarudi kwa upendo karudi kwasababu thamani hanayo tena.
 
Kwanini kiongozi[emoji1787][emoji1787]
Ukiwa na mke BONGE na watoto watatu basi nyumbani kwako una watoto wanne.

Bonge huwa hawana hata basic skills za maisha ambazo kila binadamu unatarajia kuwa nazo.
Uvivu na uchafu ni Kama iko kwenye DNA ya bonge wote duniani.

Bonge anaweza kulazwa hospitali hata kwa mafua tu.

Nimedate na mabonge sita na wote sikuona tofauti zao mmoj alinizalia mtoto lakini nikajikuta Mimi nageuka kuwa kama ndiyo mama wa mtoto.
 
Ukiwa na mke BONGE na watoto watatu basi nyumbani kwako una watoto wanne.

Bonge huwa hawana hata basic skills za maisha ambazo kila binadamu unatarajia kuwa nazo.
Uvivu na uchafu ni Kama iko kwenye DNA ya bonge wote duniani.

Bonge anaweza kulazwa hospitali hata kwa mafua tu.

Nimedate na mabonge sita na wote sikuona tofauti zao mmoj alinizalia mtoto lakini nikajikuta Mimi nageuka kuwa kama ndiyo mama wa mtoto.
Haa umetisha kwakweli😆😆😆
 
Wanashinda makanisani wakiombewa wapate mume akishapatikana kanisani tena hawaendi wakiachika uanza tena kwenda kulia lia makanisani hawajulikani nini wanataka
 
100% , ninasumbuliwa na dada mmoja aliniringia enzi za ujana wake. Sasa umri umekata amekuja kasi anatafuta good guy amwangushie, nikamwambia nishakuwa playboy ntakuumiza zaidi. Basi ana fight balaa.
 
Back
Top Bottom