Wanawake wengi wameshikiwa akili na washauri wa mitandaoni?

Maisha ya kifamilia ya washauri wengi hayako vizuri kama wanavyopretend mtandaoni..wengi wao wanayofundisha ni tofauti na hali halisi wanayoishi mtaani..

Kama kwa mtume/nabii yule mwenye wafuasi wengi kwa wiki ametenga siku moja kwa akili ya kina mama kuwapa semina ya ndoa na inaonyesha kina mama wanaimprove kutokana na shuhuda kuhusu ndoa zao..cha ajabu na kushangaza mtume/nabii yeye mwenyewe ndoa ilimshinda mpaka mwanamke kasepa...ila anashiriki kikamilifu kurudisha ndoa za watu
 
Chris Mauki ni mfano wa kuigwa

My life is mine to remember
 
Hahahaha, wanafundisha uzoefu wa maisha yao ,anachanganya na story za ubaoni ,kitu na boksi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…