Wanawake wengi wameshikiwa akili na washauri wa mitandaoni?

Wanawake wengi wameshikiwa akili na washauri wa mitandaoni?

Siku hizi ni rahisi mwanamke kuzungumza yanayitokea kwenye ndoa yao. Whatsap status imekua ndo chuch
 
Nimesoma comment Hivi Kwanini wanawake wengi ndio Victims wa hayo magroup ya Mitandaoni na sio Sisi Wanaume ??
 
Stupid wewe...hata Kama Ni jirani huwezi jua ndani wanaishije labda kama.huwa wanakuja kukuomba ushauri. Usifananishe mahusiano yako na yajirani eti kisa jirani wanashikana mikono. Ndo maana nakuona Juha usiejua KUCHANGANUA Wala kumbembua mambo.
Nimejua kwa sababu ni jirani yangu. Unadhani wote tumemfahamu kupitia mitandao kama wewe, idiot

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stupid wewe...hata Kama Ni jirani huwezi jua ndani wanaishije labda kama.huwa wanakuja kukuomba ushauri. Usifananishe mahusiano yako na yajirani eti kisa jirani wanashikana mikono. Ndo maana nakuona Juha usiejua KUCHANGANUA Wala kumbembua mambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Corona inaua
Endelea kuosha mikono
Jiepushe na mikusanyiko isiyo ya lazima
Usisahau kutumia barakoa ukiwa na dalili za mafua.

I love you
 
Stupid wewe...hata Kama Ni jirani huwezi jua ndani wanaishije labda kama.huwa wanakuja kukuomba ushauri. Usifananishe mahusiano yako na yajirani eti kisa jirani wanashikana mikono. Ndo maana nakuona Juha usiejua KUCHANGANUA Wala kumbembua mambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ndo wale wakiwaona mke na mume wameshonesha kitenge wanajua hawana matatizo wanaishi kama mbinguni
 
Kabisa,Ukienda Kawe Jpili utawaona Weng mno wanatembea road. Nabakigi kusikitika tuu 😅😅
Au ndio isemavyo Wanawake hamna akili (sorry sio Mimi Nimesikia tuu😆) So ni easy kuingia Kwenye mtego
Jana nilikuwa naangalia movie ya kinaijeria. mke ameomba kufanyiwa maombi na pastor ndoa yake ina matatizo. pastor akapiga maombi na kunena kwa lugha. katikati ya maombi akamtaka mama avue nguo upako inabidi upitie sex. mama akagoma kidogo baadae akachojoa.
haaa haaaa mwanamke hana akili
 
Kabisa,Ukienda Kawe Jpili utawaona Weng mno wanatembea road. Nabakigi kusikitika tuu [emoji28][emoji28]
Au ndio isemavyo Wanawake hamna akili (sorry sio Mimi Nimesikia tuu[emoji38]) So ni easy kuingia Kwenye mtego
Sio hatuna Akili tunachangamoto nyingi zakimaisha kuliko wanaume. Kuwa Mwanamke sio kazi rahisi jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom