Wanawake wengi wanadanganya wamefika kileleni, kuwa makini

Wanawake wengi wanadanganya wamefika kileleni, kuwa makini

Kila mtu na mzigo wake, mi nikikojoa tu, I don't know you, ila hii style lazima uwe na pesa unless you will feel very awkward
 
samahani kwa maelezo haya kuhusu kugundua kufika kileleni kwa mwanamke. ikitaka kujua hilo wakati unafanya tendo la ndoa tia kidole chako kwa kwenye anus yake kama inchi moja ndani then wakati akikojo na kusikia raha utasikia anus yake inakubana na kuachia mara kadha jua hapo amefika. nautajua ajaenda nje.

Dalili za mchezo mbaya huo.
 
samahani kwa maelezo haya kuhusu kugundua kufika kileleni kwa mwanamke. ikitaka kujua hilo wakati unafanya tendo la ndoa tia kidole chako kwa kwenye anus yake kama inchi moja ndani then wakati akikojo na kusikia raha utasikia anus yake inakubana na kuachia mara kadha jua hapo amefika. nautajua ajaenda nje.

Style gani itayotumika hapo ili kuweza kugegeda na mda huo huo umaingiza kidole?
 
Style gani itayotumika hapo ili kuweza kugegeda na mda huo huo umaingiza kidole?

analala ubavu, na anakuwa kama anaspread miguu yake, we unakuwa kwa juu huku umepiga goti moja... So unakuwa unaingiza mjomba huku kidole kinasapoti kunako mtandao ulioenea zaidi Tanzania tigoooooo...

Samahani lakini sijakufundisha tabia mbaya!!!
 
huwa inaniuzunisha sana...na mbaya Zaidi kam hamcommmunicate vizuri mnakuwa watu wa aibu aibu..ila kitucha kwanza kabisa mkiwa kwenye mahusiano hata kama ni casual sex...ni vizuri mwanaume ujue tu kmfikisha mwanamke si kazi rahisi..inahtji kazi ya ziada
 
Labda kama huna upendo nae hp sawa lkn mwanaume mzur ni yule anamtazama na mwenza wake kafika
Ni kweli kabisa...mimi kuna umri nlifika nkawa mpaka obsessed na hii kitu...yaaani ntazungusha mazungumzo mpaka tuzungumzie hii kitu..kwamba kafika au bado..? na nini kifanyike
 
Yan tunashindwa kujua tu mwanamke mwepesi sana kufika kilelen ila lazima ujue fomeshen zake cz kila mwanamke ana fomeshen zake mwingine ukimchezea chuchu huku ukifikicha kile kidude unashangaaa tayali sio mpaka uingize
 
Leo umetumbua jipu la wanaonijifanya wana mipini kama mguu wa mtoto, umewapa moyo vibamia, wanawake wale goi goi kwa mechi umewafariji sana,na vibabu wapenda vibinti umewakumbuka katika ufalme wako kupitia hii thread murua. hongera zako mkuu figganigga
 
Last edited by a moderator:
Kila mtu na mzigo wake, mi nikikojoa tu, I don't know you, ila hii style lazima uwe na pesa unless you will feel very awkward

Yaani we ukikojoa tu unampotezea mwenzako...? sio vizuri hiyo mkuu gutama

Ni tatizo linalo nisumbua na kunikera sana...maana ukienda kufikiria unajiona mchovu kwamba umeshidwa kumsugua mtu mpaka afike kunako
yaani hata mimi kuna kitu nimejifunza mkuu....yaani hii kitu ni fact kwa kwenda mbele.

ndio maana huwa napata kigugumizi sana ninaposikia mwanaume anajisifia kumfikisha mpenziwe kileleni.
kumbeeee...... ila leo vidume tumeumbuka. Ingawa ukweli mchungu kama shubiri inabidi tuumeze hivyo hivyo.

eeeh hii ya leo kweli MIA naked truth...
Kiasi kwamba hii thread nimeisoma mpaka mara 3 kwa kuirudia rudia ...kwakweli imegusa kunako mtima.

nadhan 90% ya wanawake wa mjin wana fake!!
Kweli kabisa mkuu bona....yaani huo ndio uhalisia wa mademu wa mjini, sijui kwa wale wa kijijini inakuwaje.

Yan tunashindwa kujua tu mwanamke mwepesi sana kufika kilelen ila lazima ujue fomeshen zake cz kila mwanamke ana fomeshen zake mwingine ukimchezea chuchu huku ukifikicha kile kidude unashangaaa tayali sio mpaka uingize

sasa shida ni kwamba wanaume wengi wakati wa mechi wanakuwa wanakamia sana game ...matokeo yake ndio hayo ya kuzugwa kuwa ume meet kwenye appex kumbe tatu bila.
 
Last edited by a moderator:
Kwan kileleni ndo wapi??
Utamu unaousikia to the maximum kwenye tendo la ndoa ndio kufika kileleni kwenyewe au unaweza kusema kukojoa japokuwa hutoi maji mengi kama baadhi ya wanawake, Ikiwa unasikia huo utamu, ukalia na kupiga kelele na kuhisi umajimaji umekuzidi ukeni na kutotaka kuendelea kwa muda yaani unakuwa too relaxed huku misuli ya uke ikimwenyua-mwenyua(kubana na kuachia) basi ujue umekojoa yaani umefikia mwisho wa safari.


Kama ilivyo kwenye kufika kilele sio wanawake wote wamejaaliwa kufikia Mshindo hali kadhalika sio wanawake wote wanaofika kileleni na kumwaga kama bomba. Sasa kama unataka kujua kama na wewe unauwezo wa kukojoa kwa kusikia utamu wa ngono na kumwaga ka' bomba mumeo atahitaji kufanya kazi ya ziada kufanikisha hilo.


Kuhisi kutaka kukojoa-
Watu wengine wamefananisha au kulinganisha hisia za kutaka kufika kileleni na zile za kuhisi kutaka kukojoa. Hivi ni vitu viwili tofauti kabisa lakini kama wewe ni mwanamke ambae hujawahi ufika kileleni na hujui hisia za utamu wa ngono ni wazi kuwa utadhani hisia hizo za kutaka kukojoa (mkojo wa kawaida yaani empting your bladder) ndio kufika kileleni kwenyewe lakini sio.


Baadhi ya wanawake huwa wanahisi hisia hizo za kutaka kukojoa mara tu uume unapoingia na hapo ndio huwa wanadhani kuwa huo ndio utamu wa Ngono unaopatikana kwa kusuguliwa kipele G, vilevile wapo ambao wanapata hisia hizo tendo likiendelea kwa muda mrefu na kudhania sasa wanafikia mshindo na kuachia makojo (kwa kawaida) hufurahia wakihisi "nafuu" lakini unapofika kileleni au kukojoa kutokana na utamu wa ngono husikii "relief" (nafuu) kama ile ya ku-empty bladder, unasikia utamu wa hali ya juu yaani unaweza kutamani mchezo uendee tena na tena na wakati huo huo utahisi uke wako ukimwenyua mwenyua yaani kama unafunga na kuachia(kama unavyokaza misuli ya uke) which huwezi kufanya hivyo unapokojoa.


Kama umewahi kuchezewa (kiss me) kwa ulimi na mumeo au hata kujichua kunahisia fulani za utamu unazipata sasa hisia hizo za utamu unazaozipata pale (kiss Me) ndio ambazo unapaswa kuzipata unapoingiliwa ukeni na mumeo lakini itakuwa tamu zaidi kama vile mara tatu ya utamu huo.


Utamu huu wa ngono hauelezeki na wala huwezi kuufananisha unless unauzoefu na utamu huo via (kiss me) ndio utaelewa jinsi ulivyo. kuhisi kutaka kukojoa na hatiame kuachia mkojo sio kukojoa kwa maana ya kufika kileleni, vinginevyo msingehitaji wanaume wa kuwafanya na badala yake mngekuwa mkinywa maji mengi ili kubanwa mkojo na kukojoa ili kuhisi utamu wa ngono.


Ukweli (kutokana na uzoefu) ni kuwa utamu wa Sex hauelezeki na haufananishiki na kitu chochote sio asali wala sukari ila utaelewa kama unajua utamu wa (kiss me) alafu ongeza mara 3. Mia
 
Back
Top Bottom