Wanawake wengi wanadanganya wamefika kileleni, kuwa makini

Wanawake wengi wanadanganya wamefika kileleni, kuwa makini

Sasa unapofake orgasm si unajikomoa? Kwa nini usiwe wazi tu..!

sasa km sina mood na umekamia tu nakufanyaje labda!!! nafake umalize haraka nilale

whn it comes to sex jamani men r so selfish, cjui huwa mnadhani na sie ni rahisi km nyie!!! ila somo mmelipata hope mtalifanyia kazi.
 
sasa km sina mood na umekamia tu nakufanyaje labda!!! nafake umalize haraka nilale

whn it comes to sex jamani men r so selfish, cjui huwa mnadhani na sie ni rahisi km nyie!!! ila somo mmelipata hope mtalifanyia kazi.


Unakosea sana atoto...!
Don't fake orgasms na kama mna uhuru wa kuongea basi mwambie unavyojisikia.
 
Last edited by a moderator:
Unakosea sana atoto...!
Don't fake orgasms na kama mna uhuru wa kuongea basi mwambie unavyojisikia.

unaongea tu ila nyie wenyewe mnajijua vizuriiii whn it comes kwa hili suala, so bora tu ninyamaze, km mnaelewaga vile!!!
 
Last edited by a moderator:
Orgasm kwa mwanamke sio rahisi kihiiivyo!


Sikukatalii kuwa si hivyo, lakini pia sikubaliani na wewe 100%. Wapo wanawake wana orgasms za haraka sana...! Na wengine ni shughuli pevu kama usemavyo. Watu hawafanani.
Muhimu ni kuwa wazi, kwani kila siku waweza kuwa katika mood ya kufanya mapenzi?...na kama hujafika kwa nini usiseme? Kwa nini ufake kwa mtu unayesema wampenda?
 
....

.....napogegeda ni kisikia pwacha pwacha najuwa tayari !!!

!
!
mkongweeeeeee.....habari yako bana. Hapa ndio huwa naona umuhimu wa uzoefu. Mwenye ujuzi tupu atadanganywa, na in fact atashindwa kumfikisha au atabahatisha kumfikisha. Ila ukiwa na uzoefu utakuwa unajua inachokifanya, kwa hiyo hata usipomfikisha kwa bahati mbaya utajua tu.
 
Cha msingi ni mawasiliano tu, wanawake wengi nadhan huona aibu kuongea ukweli, wadada tufunguke basiii

yah mawasilianao hasa kwenye mambo ya sex ni nzuri sana...hasa mwanaume anatakiwa awe na kazi kubwa ya kumfanya mpenzi wake awe comfortable kuongea mambo ya sex kwa uwazi na deep...hasa kwenye swala la nini kifanyike mpaka aridhike
 
Aliyefika haulizwi utamjua tu kupitia kwenye vagina yake maana mwanzon wakat wa kuduu dushe inakuwa imebana...ila ikifikia karbia na climax vagina inaanza kuwa laini hapo orgasm inakuwa tayar..so boys msidanganyike na wadada wanaojidai ku screem mara ooh...aaahhh nyie angalien hiyo method niliyowapa hapo juu..nawasilisha. 🙂
mmmmh.. hiyo vagina kuwa laini mbona ni kawaida mamii...!? ila watu wapo tofauti..?
 
mmmmh.. hiyo vagina kuwa laini mbona ni kawaida mamii...!? ila watu wapo tofauti..?

Mi nadhan hapo nilibase sana kweny vagina ambazo mwanzo wa tendo znakuwa na hali ya unyevunyevu wa kawaida, ila sasa hapo kwa zile ambazo unakuta hata kabla ya tendo zilishalowa inakuwa ngumu kutambua orgasm...hapo kaz ipo ila cha muhimu ni mwanamke kucontrol moves kipind cha mwanzo maana tulio weng hatufiki climax haraka, then hapo sasa ndio utaona sasa kikiri kikiri na mibao yako minane unakuwa unamchosha tu m2 wako..wakat yeye hta hako ka1 tu kukapata ni ishu.
Cha msingi;
Mawasiliano during tendo
Uwazi
Aibu kando
Wote muwe tayar na tendo
Asante mkuu
 
Watu wengi wanajidanganya ukigegeda muda mrefu ndiyo kumridhisha mwanamke...mwanamke akikupenda unaweza ukamuingiza nyoka pangoni dk 5 akaanza kupungukiwa maji...
 

Utamu unaousikia to the maximum kwenye tendo la ndoa ndio kufika kileleni kwenyewe au unaweza kusema kukojoa japokuwa hutoi maji mengi kama baadhi ya wanawake, Ikiwa unasikia huo utamu, ukalia na kupiga kelele na kuhisi umajimaji umekuzidi ukeni na kutotaka kuendelea kwa muda yaani unakuwa too relaxed huku misuli ya uke ikimwenyua-mwenyua(kubana na kuachia) basi ujue umekojoa yaani umefikia mwisho wa safari.


Kama ilivyo kwenye kufika kilele sio wanawake wote wamejaaliwa kufikia Mshindo hali kadhalika sio wanawake wote wanaofika kileleni na kumwaga kama bomba. Sasa kama unataka kujua kama na wewe unauwezo wa kukojoa kwa kusikia utamu wa ngono na kumwaga ka' bomba mumeo atahitaji kufanya kazi ya ziada kufanikisha hilo.


Kuhisi kutaka kukojoa-
Watu wengine wamefananisha au kulinganisha hisia za kutaka kufika kileleni na zile za kuhisi kutaka kukojoa. Hivi ni vitu viwili tofauti kabisa lakini kama wewe ni mwanamke ambae hujawahi ufika kileleni na hujui hisia za utamu wa ngono ni wazi kuwa utadhani hisia hizo za kutaka kukojoa (mkojo wa kawaida yaani empting your bladder) ndio kufika kileleni kwenyewe lakini sio.


Baadhi ya wanawake huwa wanahisi hisia hizo za kutaka kukojoa mara tu uume unapoingia na hapo ndio huwa wanadhani kuwa huo ndio utamu wa Ngono unaopatikana kwa kusuguliwa kipele G, vilevile wapo ambao wanapata hisia hizo tendo likiendelea kwa muda mrefu na kudhania sasa wanafikia mshindo na kuachia makojo (kwa kawaida) hufurahia wakihisi "nafuu" lakini unapofika kileleni au kukojoa kutokana na utamu wa ngono husikii "relief" (nafuu) kama ile ya ku-empty bladder, unasikia utamu wa hali ya juu yaani unaweza kutamani mchezo uendee tena na tena na wakati huo huo utahisi uke wako ukimwenyua mwenyua yaani kama unafunga na kuachia(kama unavyokaza misuli ya uke) which huwezi kufanya hivyo unapokojoa.


Kama umewahi kuchezewa (kiss me) kwa ulimi na mumeo au hata kujichua kunahisia fulani za utamu unazipata sasa hisia hizo za utamu unazaozipata pale (kiss Me) ndio ambazo unapaswa kuzipata unapoingiliwa ukeni na mumeo lakini itakuwa tamu zaidi kama vile mara tatu ya utamu huo.


Utamu huu wa ngono hauelezeki na wala huwezi kuufananisha unless unauzoefu na utamu huo via (kiss me) ndio utaelewa jinsi ulivyo. kuhisi kutaka kukojoa na hatiame kuachia mkojo sio kukojoa kwa maana ya kufika kileleni, vinginevyo msingehitaji wanaume wa kuwafanya na badala yake mngekuwa mkinywa maji mengi ili kubanwa mkojo na kukojoa ili kuhisi utamu wa ngono.


Ukweli (kutokana na uzoefu) ni kuwa utamu wa Sex hauelezeki na haufananishiki na kitu chochote sio asali wala sukari ila utaelewa kama unajua utamu wa (kiss me) alafu ongeza mara 3. Mia

Kusoma mathread kama haya muda wa kazi kama huu ni kutafutiana tabu tuu.........
 
Back
Top Bottom