Wanawake wengi wanadanganya wamefika kileleni, kuwa makini

Wanawake wengi wanadanganya wamefika kileleni, kuwa makini


Utamu unaousikia to the maximum kwenye tendo la ndoa ndio kufika kileleni kwenyewe au unaweza kusema kukojoa japokuwa hutoi maji mengi kama baadhi ya wanawake, Ikiwa unasikia huo utamu, ukalia na kupiga kelele na kuhisi umajimaji umekuzidi ukeni na kutotaka kuendelea kwa muda yaani unakuwa too relaxed huku misuli ya uke ikimwenyua-mwenyua(kubana na kuachia) basi ujue umekojoa yaani umefikia mwisho wa safari.


Kama ilivyo kwenye kufika kilele sio wanawake wote wamejaaliwa kufikia Mshindo hali kadhalika sio wanawake wote wanaofika kileleni na kumwaga kama bomba. Sasa kama unataka kujua kama na wewe unauwezo wa kukojoa kwa kusikia utamu wa ngono na kumwaga ka' bomba mumeo atahitaji kufanya kazi ya ziada kufanikisha hilo.


Kuhisi kutaka kukojoa-
Watu wengine wamefananisha au kulinganisha hisia za kutaka kufika kileleni na zile za kuhisi kutaka kukojoa. Hivi ni vitu viwili tofauti kabisa lakini kama wewe ni mwanamke ambae hujawahi ufika kileleni na hujui hisia za utamu wa ngono ni wazi kuwa utadhani hisia hizo za kutaka kukojoa (mkojo wa kawaida yaani empting your bladder) ndio kufika kileleni kwenyewe lakini sio.


Baadhi ya wanawake huwa wanahisi hisia hizo za kutaka kukojoa mara tu uume unapoingia na hapo ndio huwa wanadhani kuwa huo ndio utamu wa Ngono unaopatikana kwa kusuguliwa kipele G, vilevile wapo ambao wanapata hisia hizo tendo likiendelea kwa muda mrefu na kudhania sasa wanafikia mshindo na kuachia makojo (kwa kawaida) hufurahia wakihisi "nafuu" lakini unapofika kileleni au kukojoa kutokana na utamu wa ngono husikii "relief" (nafuu) kama ile ya ku-empty bladder, unasikia utamu wa hali ya juu yaani unaweza kutamani mchezo uendee tena na tena na wakati huo huo utahisi uke wako ukimwenyua mwenyua yaani kama unafunga na kuachia(kama unavyokaza misuli ya uke) which huwezi kufanya hivyo unapokojoa.


Kama umewahi kuchezewa (kiss me) kwa ulimi na mumeo au hata kujichua kunahisia fulani za utamu unazipata sasa hisia hizo za utamu unazaozipata pale (kiss Me) ndio ambazo unapaswa kuzipata unapoingiliwa ukeni na mumeo lakini itakuwa tamu zaidi kama vile mara tatu ya utamu huo.


Utamu huu wa ngono hauelezeki na wala huwezi kuufananisha unless unauzoefu na utamu huo via (kiss me) ndio utaelewa jinsi ulivyo. kuhisi kutaka kukojoa na hatiame kuachia mkojo sio kukojoa kwa maana ya kufika kileleni, vinginevyo msingehitaji wanaume wa kuwafanya na badala yake mngekuwa mkinywa maji mengi ili kubanwa mkojo na kukojoa ili kuhisi utamu wa ngono.


Ukweli (kutokana na uzoefu) ni kuwa utamu wa Sex hauelezeki na haufananishiki na kitu chochote sio asali wala sukari ila utaelewa kama unajua utamu wa (kiss me) alafu ongeza mara 3. Mia

hii kitu nilikuwa sijaiona bwana!!!
duuuh mule mule.
 

Utamu unaousikia to the maximum kwenye tendo la ndoa ndio kufika kileleni kwenyewe au unaweza kusema kukojoa japokuwa hutoi maji mengi kama baadhi ya wanawake, Ikiwa unasikia huo utamu, ukalia na kupiga kelele na kuhisi umajimaji umekuzidi ukeni na kutotaka kuendelea kwa muda yaani unakuwa too relaxed huku misuli ya uke ikimwenyua-mwenyua(kubana na kuachia) basi ujue umekojoa yaani umefikia mwisho wa safari.


Kama ilivyo kwenye kufika kilele sio wanawake wote wamejaaliwa kufikia Mshindo hali kadhalika sio wanawake wote wanaofika kileleni na kumwaga kama bomba. Sasa kama unataka kujua kama na wewe unauwezo wa kukojoa kwa kusikia utamu wa ngono na kumwaga ka' bomba mumeo atahitaji kufanya kazi ya ziada kufanikisha hilo.


Kuhisi kutaka kukojoa-
Watu wengine wamefananisha au kulinganisha hisia za kutaka kufika kileleni na zile za kuhisi kutaka kukojoa. Hivi ni vitu viwili tofauti kabisa lakini kama wewe ni mwanamke ambae hujawahi ufika kileleni na hujui hisia za utamu wa ngono ni wazi kuwa utadhani hisia hizo za kutaka kukojoa (mkojo wa kawaida yaani empting your bladder) ndio kufika kileleni kwenyewe lakini sio.


Baadhi ya wanawake huwa wanahisi hisia hizo za kutaka kukojoa mara tu uume unapoingia na hapo ndio huwa wanadhani kuwa huo ndio utamu wa Ngono unaopatikana kwa kusuguliwa kipele G, vilevile wapo ambao wanapata hisia hizo tendo likiendelea kwa muda mrefu na kudhania sasa wanafikia mshindo na kuachia makojo (kwa kawaida) hufurahia wakihisi "nafuu" lakini unapofika kileleni au kukojoa kutokana na utamu wa ngono husikii "relief" (nafuu) kama ile ya ku-empty bladder, unasikia utamu wa hali ya juu yaani unaweza kutamani mchezo uendee tena na tena na wakati huo huo utahisi uke wako ukimwenyua mwenyua yaani kama unafunga na kuachia(kama unavyokaza misuli ya uke) which huwezi kufanya hivyo unapokojoa.


Kama umewahi kuchezewa (kiss me) kwa ulimi na mumeo au hata kujichua kunahisia fulani za utamu unazipata sasa hisia hizo za utamu unazaozipata pale (kiss Me) ndio ambazo unapaswa kuzipata unapoingiliwa ukeni na mumeo lakini itakuwa tamu zaidi kama vile mara tatu ya utamu huo.


Utamu huu wa ngono hauelezeki na wala huwezi kuufananisha unless unauzoefu na utamu huo via (kiss me) ndio utaelewa jinsi ulivyo. kuhisi kutaka kukojoa na hatiame kuachia mkojo sio kukojoa kwa maana ya kufika kileleni, vinginevyo msingehitaji wanaume wa kuwafanya na badala yake mngekuwa mkinywa maji mengi ili kubanwa mkojo na kukojoa ili kuhisi utamu wa ngono.


Ukweli (kutokana na uzoefu) ni kuwa utamu wa Sex hauelezeki na haufananishiki na kitu chochote sio asali wala sukari ila utaelewa kama unajua utamu wa (kiss me) alafu ongeza mara 3. Mia

asante sana mkuu.... umenifafanulia vzuri mpaka nmehisi kufika kileleni....
 
Mi nadhan hapo nilibase sana kweny vagina ambazo mwanzo wa tendo znakuwa na hali ya unyevunyevu wa kawaida, ila sasa hapo kwa zile ambazo unakuta hata kabla ya tendo zilishalowa inakuwa ngumu kutambua orgasm...hapo kaz ipo ila cha muhimu ni mwanamke kucontrol moves kipind cha mwanzo maana tulio weng hatufiki climax haraka, then hapo sasa ndio utaona sasa kikiri kikiri na mibao yako minane unakuwa unamchosha tu m2 wako..wakat yeye hta hako ka1 tu kukapata ni ishu.
Cha msingi;
Mawasiliano during tendo
Uwazi
Aibu kando
Wote muwe tayar na tendo
Asante mkuu
Ni kweli kabisa kipepeo mweusi mawasiliano muhimu na kuingia deep..especialy ka ndoa ni changa au penzi changa
 
article-2309297-194DD7D0000005DC-233_468x286.jpg

Habari yenu wakuu,

Haya mambo ya mapenzi yana uwanja mkubwa sana. Na kila mtu ana mapito yake kwenye hili swala. Kufika kileleni kwa mwanamke imegundulika sio wote wanafika kileleni, niwachache sana wanaofika japo ni wengi wanaosema nimefika kileleni kwa kudanganya, waongo.

Unajua kufika kileleni ni sifa katika maswala ya mapenzi na mwanaume anajisikia special kama amemfikisha kileleni mwenza wake na mwanamke anafurahi sana afikapo kileleni na kuona mwanaume amefurahia penzi lake so atafanya kila jitihada kuhakikisha anamfurahisha Mwanaume ikiwemo kujifanya analia eti anaumia japo wapo wanao umia kweli. Wanawake wanajua wakifika kileleni mwanaume anafurahi sana. So ili kumfurahisha mwanaume ataact kufika. Wajanja sana na wanatupenda jamani dah!!.

Hata hivo kuna baadhi ya sabau zinazosababisha adanganye awe ajifanye kufika kileleni. yaani unakuta mwanamke anajinyonganyonga, anapiga kelele, anakukumbatia kwa nguvu kama mtu anayetaka kufikia mshindo kumbe ni mbwembwe tu. Baadhi tu ya sababu chache ni:-

1. Wanafanya hivo ili kumlidhisha mpenzi wake wa kiume ili ajisifie kafanya kazi. anamtia moyo ili asijioni hawezi kitu. Kwana mwanamme inatakiwa umfikishe mpenzio.

2.Mwanamke anakua hayupo kwenye mood ya kufanya mapenzi so anaamua kujifanya anamaliza ili usiendelee kumsumbua. So atajifanya kafika kileleni na kukushukuru asante mpenzi wangu. yaani nmechoka hata siwezi kurudia tena. so anajifanya kafika ili kumfanya mpenzi wake amalize haraka/anamuongezea presha ya kumaliza.

3. Kama anaumia. Mwanamke kama anaumie atajifanya anafika kileleni ili kumuwahisha mpenzi wake kumaliza.

4.Akiwa amekasirika. Mwanamke akiwa amekasirika hawezi kufanya mapenzi kabisa, ndo maana wanashauri mfanye mapenzi miwa katika hali nzuri ya furaha. Hata hivo mwanamke anaweza kufanya mapenzi ili asimuudhi mpenzi wake. hata akifanya atajitahidi anahakikisha mwanamme unamaliza haraka kwa kukupa presha kana kwamba anafiaka kileleni.

5.Kukosa mbinu za mapenzi. Unapokua kwenye uwanja wa mapenzi au sita kwa sita wenyewe wanavoita, mwanamke ndie kocha. mwanamme cha kufanya ni kumsikiliza na kuchokua hints. Akikuambia nenda haraka haraka basi fanya, akikuambia punguza supidi fanya hivo, akikuambia tufanye hivi msikilize kwa makini vinginevo utamuudhi. Na ukishamuudhi ili akuage kwa uzuri atakuambia namaliza. akishamaliza mchezo umeisha.

6.Kuchoka. Mwanamke akiona mwanamme kachoka na bado anaforce basi atajifanya anamaliza ili kukufanya upumzike coz anajua akikuambia pumzika utajisikia vibaya ataonesha dalili za kufika kileleni. na wewe utaamini kweli kumbe wapi. hawa viumbe wajanja sana.

7.Sio wote wanaofikishwa kieleleni na uume hata ukeshe. So ni vizuri kumjua mpenzi wako. Kuna wanaofika kileleni just kwa kuchezewa sehemu zao, kunyonywa, kupapaswa n.k.

Zipo sababu kibao zinazo sababisha japo kwa leo nimewaelezea hizi chache. Japo nyingine ni za kiwizi wizi.

Ushauri wangu. Mwanmke na mwanaume ni vizuri kuwa muwazi kwa mpenzi wako. Sema kile unachotaka kufanyiwa. huna haja ya kufake. Wiki ijayo nikipata nafasi ntawaelezea mikao mizuri ya kufanya mapenzi ambayo itawanya kila mmoja afurahie na kufika Kileleni bila tabu.

Asante sana.

Kumbuka, Women can fake an orgasm, Men can fake a whole relationship . Mia
Eeeh
 
Back
Top Bottom