Wanawake wengi wenye "CHURA" hamnazo

Wanawake wengi wenye "CHURA" hamnazo

Ni mtazamo tu wala hakuna ukweli wowote, ndiyo maana unaambiwa watu hamuwezi kufanana kila kitu lazima utofauti uwepo.
 
Wasalaamu,

Katika kautafiti kangu kafupi nimegundua wanawake wengi wenye chura, uwezo wao wa kupambanua mambo ni mdogo na wengi wanaumizwa sana kunako .

Wengine akili zao chache zilizopo hufikiria kwa kutumia chura, hawa hutumia muda mwingi kuanzisha visafari visivyo na muelekeo huku wakizungusha chura na kujitazama .

Hatari sana !!
Umenena hongera
 
Hiki kitu huwa kinanishangaza na kunisikitisha sana, imefikia kipindi nikiona mwanamke mzuri mwenye umbo la kuvutia, nina hukumu tu moja kwa moja kuwa kichwani hakuna, most of them ni sifuri kabisa, very emotional and they never think logically.
 
Nilitaka kuogopa kuchangia,
Nimeamua kuchangia tu.

100% ni kweli atakayekubali akubali na mwenye kukataa ni juu yake pia.

Wanawake wenye hayo makalio makubwa akili zote ziko huko chini, hutembea wakijua wanatazamwa na mji au jiji lote.

cfca4281e84c918a7950e5de3d6e3d09.jpg
 
Afadhali umeligundua hili... Nilikua na rafiki yangu ana chura mzigo ila akili yake ipo hukohuko kwa chura!!! Binti alikua ananipa stress kudeal nae... Yupo slow kimawazo ile mbaya!
niinbox namba yake jamani
 
Siyo kweli mkuu!

Mbona mie na Miss natafuta tunauwezo mkubwa wa kupambanua mambo mbali mbali?
 
Back
Top Bottom