Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena hongeraWasalaamu,
Katika kautafiti kangu kafupi nimegundua wanawake wengi wenye chura, uwezo wao wa kupambanua mambo ni mdogo na wengi wanaumizwa sana kunako .
Wengine akili zao chache zilizopo hufikiria kwa kutumia chura, hawa hutumia muda mwingi kuanzisha visafari visivyo na muelekeo huku wakizungusha chura na kujitazama .
Hatari sana !!
Mimi nimefikia sehemu hao nawaambia suala la kukugedana tu, hakuna maongezi ya kuhusu chochote, ukimtafuta ni mgegedo tu halafu kila mtu aende zake!mkuu umewaza nn? mbn umeongea fact sana
utakuwa umeoa chura mkuuKama sample yako ulichukua standard seven failures lazima ikuletee hayo matokea mkuu.
niinbox namba yake jamaniAfadhali umeligundua hili... Nilikua na rafiki yangu ana chura mzigo ila akili yake ipo hukohuko kwa chura!!! Binti alikua ananipa stress kudeal nae... Yupo slow kimawazo ile mbaya!
Wewe ni inchi ngapi??Siyo kweli mkuu!
Mbona mie na Miss natafuta tunauwezo mkubwa wa kupambanua mambo mbali mbali?
Pambanua utaelewa mm ni nchi ngapi?Wewe ni inchi ngapi??