Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Si ndio komwemwe 😂😂😂😂Sina komwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio komwemwe 😂😂😂😂Sina komwe
Ana roho ngumu tu yuleAaah jamani kwani ni kweli kipenzi? Mbna una kichwa kizuri
Mimi ni mchamungu na roho nzuri na sisemi vibaya mabichwa ya watu atakama mabaya so we should mingleAna roho ngumu tu yule
[emoji16][emoji16]Wanaume wabaya sana[emoji23]
[emoji1783]Yani wana kiti chao mahali[emoji28][emoji28]
unatafuta mini lakini na wewe huko tandale,Habari wanajamvi,
Kutokana na utafiti wangu wa hapa na pale kuhusiana na wanawake nimekuja kugundua asilimia kubwa ya wanawake ambao uwezo wao ni mdogo wa kufikiri(especially hawa wa uswahilini ila sio wote) wanakua na kidharau fulani ivi cha kijinga kwa mfano unaeza mfuata ukamsalimia demu normal tu namuongee ila atakavyo kujibu au dharau atakazokuonyesha kama wewe ni takataka fulani..... Like what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala mtu mwenyewe ukimuangalia kavaa kijora kimepauka kichwani hana lolote saa nyingine ni form four zero.
Ila kwa upande mwengine kuna baadhi ya wanawake wenye uwezo mkubwa wa kufikiri ambao nimekutana nao they are very polite and generous compared tu hawa akina mwajuma ndalandefu ambao kichwani amna kitu zaidi ya vigodoro na kunuka shombo
Nikikataliwa iwe vizuri au vibaya daima huwa nakuwa neutral, hii ni mbinu ya kuweza kufanya jaribio tena baada
Ww apo hautachoka kipenziWanawake tutafika mbinguni tumechoka sana
Hii nzuri ila nimeona kuna hao wakikataliwa wanakasirika. Huwa nacheka mana sio lazima kama mtu hataki si unamuacha . Utaskia mtu mwenyewe mbaya nilikua nakujaribu [emoji23][emoji23][emoji23]Nikikataliwa iwe vizuri au vibaya daima huwa nakuwa neutral, hii ni mbinu ya kuweza kufanya jaribio tena baadae.
NAKAZIA 🔨Kwani hutambui kwamba watu hutofautina kwa kila kitu kuanzia jina rangi tabia urefu, na mengineyo, hamna cha kushangaza hapo.
Akili ndogo haipimwi kwa salam.
Kuna watu wana akili mingi ila wana dharau vilevile.
Labda kwa tafsiri yako ulimwona wa hadhi ya chini ukategemea atakushobokea.
Mwenye shida niwewe kuweka expectation nyingi kwa watu usio wajua.
Hayo ni maneno ya mkosaji 😂Hii nzuri ila nimeona kuna hao wakikataliwa wanakasirika. Huwa nacheka mana sio lazima kama mtu hataki si unamuacha . Utaskia mtu mwenyewe mbaya nilikua nakujaribu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kichwani FORM 4 zero....Habari wanajamvi,
Kutokana na utafiti wangu wa hapa na pale kuhusiana na wanawake nimekuja kugundua asilimia kubwa ya wanawake ambao uwezo wao ni mdogo wa kufikiri(especially hawa wa uswahilini ila sio wote) wanakua na kidharau fulani ivi cha kijinga kwa mfano unaeza mfuata ukamsalimia demu normal tu namuongee ila atakavyo kujibu au dharau atakazokuonyesha kama wewe ni takataka fulani..... Like what the JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala mtu mwenyewe ukimuangalia kavaa kijora kimepauka kichwani hana lolote saa nyingine ni form four zero.
Ila kwa upande mwengine kuna baadhi ya wanawake wenye uwezo mkubwa wa kufikiri ambao nimekutana nao they are very polite and generous compared tu hawa akina mwajuma ndalandefu ambao kichwani amna kitu zaidi ya vigodoro na kunuka shombo