Wanawake wenye akili ndogo

We unawaona wajinga na wao wanakuona mjinga kwahiyo wote mnadharau endelea kuonja ladha ya sumu uliyompa nae akakurudishia
 
unatafuta mini lakini na wewe huko tandale,
si unasaka ugomvi tu musee
 
Wewe lazima limekukuta Jambo,maana sio kwa povu lote Hilo.

Ila pole.
 
Nikikataliwa iwe vizuri au vibaya daima huwa nakuwa neutral, hii ni mbinu ya kuweza kufanya jaribio tena baadae.
Hii nzuri ila nimeona kuna hao wakikataliwa wanakasirika. Huwa nacheka mana sio lazima kama mtu hataki si unamuacha . Utaskia mtu mwenyewe mbaya nilikua nakujaribu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
NAKAZIA πŸ”¨
 
Hii nzuri ila nimeona kuna hao wakikataliwa wanakasirika. Huwa nacheka mana sio lazima kama mtu hataki si unamuacha . Utaskia mtu mwenyewe mbaya nilikua nakujaribu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hayo ni maneno ya mkosaji πŸ˜‚
Sio lazima kila unachokihitaji/kipenda ukipate
 
Kichwani FORM 4 zero....

Wa kutoka Kaya maskini....

Hana la maana zaidi ya kutafuta "buku 3" kupitia "biashara kongwe"........

Wao kutwa "Kausha damu" wakichukua basi kwenda kutunza SHUGHULINI.......

Wacha "classwomen" wanate tu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…