Wanawake wenye hizi tabia wanastahili heshima sana na kuthaminiwa

Wanawake wenye hizi tabia wanastahili heshima sana na kuthaminiwa

Sasa muda kama huu ndo wa kuambiwa
"Mi naenda kulala we ulivo sasa bado utaendelea kuangalia TV, usiniamshe nakwambia nikishalala"

Sisi wa lugha za ishara hivi tupewe hata bandai ya Bagamoyo tumiliki sambamba na wachina
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ha

po pa mwisho eti kufumba macho wakati inaingia.

Hapo inakuwaga wizi tu. Ili kuficha mshangao wa kadude kanakoingia.

Especially kwa mtu aliejimwambafy sana kuwa ni ze beast. Sasa ze bisti jamani wakati weapon of destruction hakana ushirikiano?

So ili kuficha feelings tunafumba macho jamani.

Hizo chocolates asante hatustahili kwa kweli. [emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umetoka huko ulikokuwa kuja kushusha ego za watu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dhambiiii
 
Back
Top Bottom