Wanawake wenye hizi tabia wanastahili heshima sana na kuthaminiwa

Wanawake wenye hizi tabia wanastahili heshima sana na kuthaminiwa

Ha

po pa mwisho eti kufumba macho wakati inaingia.

Hapo inakuwaga wizi tu. Ili kuficha mshangao wa kadude kanakoingia.

Especially kwa mtu aliejimwambafy sana kuwa ni ze beast. Sasa ze bisti jamani wakati weapon of destruction hakana ushirikiano?

So ili kuficha feelings tunafumba macho jamani.

Hizo chocolates asante hatustahili kwa kweli. [emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpewe na novida ya barid mmezid uongo sana
 
Daaahh watu mna maneno humu..
Hahahahah

Na wale mademu wanaokuja gero tuu wanabadili channel ya tv na kuweka SWAHILI MOVIE tafadhali wafungiwe nyungo za azam tv nyumbani kwao.
Hao nikuwapakis mkongo kabsa
 
Ewaaaaaaa! Njemba inaweza acha tu nipige simu kazini kwamba sijisikii vizuri leo maana jioni mbali sana 😂😂😂😂😂

Weeee sisi wa mi leo nataka?
Huwa tunasemaga kabisa streeeeiiiit.
"Urudi mapema leo love mi nna nyege mwenzio"
Kuna watu akili walishafungia kwenye makaratasi ya vitumbua best.
But it is kinda sexy , ryt?
 
Hahahahaha hii unapakwa baada ya kutoa pole au kabla? Mgongoni tu!? 😂😂😂😂😂
Kuna pole mbili.
Moja ya kabla hii ni pole ya kazi, hii inatolewa na salamu tu mtu akiwa na adabu zake za NIDA..

Ya pili ni pole baada ya Qaaa qaaaz, hii inatolewa huku unakunwa utosi.

Weeeeh sisi tupewe funguo wa Sefu la World Bank.
 
Back
Top Bottom