snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,065
- 24,559
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nasema hivi maini hayazeeki bali yanaongezeka utamu 😜😜😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nasema hivi maini hayazeeki bali yanaongezeka utamu 😜😜😜
hahahah nitarudi kuweka msimamo wangu acha niendelee kusoma commentWewe ndio umemuingiza sio mimi...
Nilikua very conscious wakati naandika soma vizuri usikurupuke kama wazee wa PGO!
After all nakufutia dhambi ya kuniita mshenzi kwa hati ya dharura
Fanta orange [emoji23]Sisi ambao tunasema ""iila weeeewe na ufanye haraka ntaunguza"
tunapewa nini?
KabsaAmiiina na pia hapa dunian wapewe ofa ya kutoa hela bila makato
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unachekesha..Haki huu uzi[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi ambao tunapuliza masikio ukiwa unafika kileleni tupewe upande upi wa Ikulu?
Nyie inabidi mukae siti za mbele kabsa hapo mjengoniSisi ambao tunapuliza masikio ukiwa unafika kileleni tupewe upande upi wa Ikulu?
Yaani nimecheka jamani mweeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unachekesha..