Wanawake wenye maumbo mazuri ni wetu.

Wanawake wenye maumbo mazuri ni wetu.

Tatizo mnadhani wanawake warembo ni hao wanene, wenye maumbile flani makubwa kupita kiasi.

Lakini ukweli ni kwamba urembo hauko nje, uko ndani.

Na hata hivyo huo 'urembo' ambao vijana wengi mnaupenda, ni dalili ya magonjwa ya moyo na presha.
Huwa nahisi mtu akiwa mnene ananuka 💩

No offense

Bmw m5 mwanamke akiwa mzuri sio lazima akawa muhuni,omba upate vyote ulivyotaja
 
Kuna jamaa mahakamani aliulizwa mbona una mke mzuri hivi kwanini unamuacha? (Na kweli mwanamke alikua mzuri sana na anaupole flani nahisi wa kuigiza)

Jamaa akajibu jibu fupi sana akasema "kizuri hakikosi kasoro"

Nikahisi tu yule mwamba amevumilia mengi sana moyo wake umechoka hata kuelezea aliyopitia
aisee
 
Back
Top Bottom