Huwa nahisi mtu akiwa mnene ananuka 💩Tatizo mnadhani wanawake warembo ni hao wanene, wenye maumbile flani makubwa kupita kiasi.
Lakini ukweli ni kwamba urembo hauko nje, uko ndani.
Na hata hivyo huo 'urembo' ambao vijana wengi mnaupenda, ni dalili ya magonjwa ya moyo na presha.
aiseeKuna jamaa mahakamani aliulizwa mbona una mke mzuri hivi kwanini unamuacha? (Na kweli mwanamke alikua mzuri sana na anaupole flani nahisi wa kuigiza)
Jamaa akajibu jibu fupi sana akasema "kizuri hakikosi kasoro"
Nikahisi tu yule mwamba amevumilia mengi sana moyo wake umechoka hata kuelezea aliyopitia
Aiseeeeh!!!Tatizo mnadhani wanawake warembo ni hao wanene, wenye maumbile flani makubwa kupita kiasi.
Lakini ukweli ni kwamba urembo hauko nje, uko ndani.
Na hata hivyo huo 'urembo' ambao vijana wengi mnaupenda, ni dalili ya magonjwa ya moyo na presha.
huu ugonjwa sasa
Unapambana mwenyewe kuwatetea dada zako 😹Tatizo mnadhani wanawake warembo ni hao wanene, wenye maumbile flani makubwa kupita kiasi.
Lakini ukweli ni kwamba urembo hauko nje, uko ndani.
Na hata hivyo huo 'urembo' ambao vijana wengi mnaupenda, ni dalili ya magonjwa ya moyo na presha.
Ogopa hii combo nyege & ufukaraNyege mbaya sana
USA wamesitisha misaada yote hadi ya dawa ya homa-kali aka "edisi"!
Eehhh sina neno hapoWacha tuendelee na mazoezi Dunia ina Mengi 😅
Au plus upwekeOgopa hii combo nyege & ufukara
Nikiuharisia wanawake wembamba wako vizuri zaidi midomo ndo inawaponza tukwann mkuu?