SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
😂So Kuna wanaoenda UEFA na wengine europaWakuu habari za wakati huu, hopefully mko poa.
Ifuatayo ni orodha ya wanawake wenye mvuto kwa mwaka huu 2023
Disclaimer: Ni kweli haiombwi hivo ila nikipewa sikatai😂😂
Hapa hamna kuwashobokea wala nini "Mwanamke ni ua lazima wavutie"
Unataka na wewe dume uandikwe humu jamii forum kwa kipi???
NB: Hawa wote hamna hata mmoja ambaye nishawahi onana naye ila wanavutia na kunukia tu hata huko waliko na hata kupitia uandishi wao, sasa sijui na wenyewe watakua na vigimbi kama vya Nsajigwa au ni kweli wana mvuto.
Na hii ndio list yenyewe🌹🌹🌹View attachment 2856922
duuh mzee baba umetisha, yaani umeweka mpaka table kabisa.duuh mzee baba umetisha, yaani umeweka mpaka table kabisa.
anyway, mnachokifanya sometime ni kizuri maana kina promote friendship but katika namna nyingine ni kibaya maana kinawabeza kundi hili na kuwakweza wanawake wengine. its not fair.
sababu kubwa ya jamii forum kuficha identity ni kwamba watu waji keep busy na content kuliko appearence za watu. na hii ndio tofauti ya JF na mitandao mingine.
Nashauri tu, kama una hisia za aina yeyote na fulani pm zipo wazi mfuate. watu humu ndani watukuzwe kwa mabandiko yao na sio sura zao.
🤣🤣🤣 vigimbi kama Haji Manarawenyewe watakua na vigimbi kama vya Nsajigwa au ni kweli wana mvuto.
Sawa mkuuduuh mzee baba umetisha, yaani umeweka mpaka table kabisa.
anyway, mnachokifanya sometime ni kizuri maana kina promote friendship but katika namna nyingine ni kibaya maana kinawabeza kundi hili na kuwakweza wanawake wengine. its not fair.
sababu kubwa ya jamii forum kuficha identity ni kwamba watu waji keep busy na content kuliko appearence za watu. na hii ndio tofauti ya JF na mitandao mingine.
Nashauri tu, kama una hisia za aina yeyote na fulani pm zipo wazi mfuate. watu humu ndani watukuzwe kwa mabandiko yao na sio sura zao.
Kwani hizo ni picha zao?Wakuu habari za wakati huu, hopefully mko poa.
Ifuatayo ni orodha ya wanawake wenye mvuto kwa mwaka huu 2023
Disclaimer: Ni kweli haiombwi hivo ila nikipewa sikatai😂😂
Hapa hamna kuwashobokea wala nini "Mwanamke ni ua lazima wavutie"
Unataka na wewe dume uandikwe humu jamii forum kwa kipi?
NB: Hawa wote hamna hata mmoja ambaye nishawahi onana naye ila wanavutia na kunukia tu hata huko waliko na hata kupitia uandishi wao, sasa sijui na wenyewe watakua na vigimbi kama vya Nsajigwa au ni kweli wana mvuto.
Na hii ndio list yenyewe🌹🌹🌹View attachment 2856922
Mi nilijua nitakuwa wa kwanza😭😭😭
Wamepigiwa kura na nani hao, na ni vigezo vipi vimetumika kuwapitisha mkuu!Kwann mkuu
Na Mimi nna Bunduki ujie bhasi😂Yes, mimi ni mshika bunduki lialia
Hahahahhaahha pamoja sana...asante kwa kutupenda...tunanukia haswaaaWakuu habari za wakati huu, hopefully mko poa.
Ifuatayo ni orodha ya wanawake wenye mvuto kwa mwaka huu 2023
Disclaimer: Ni kweli haiombwi hivo ila nikipewa sikatai😂😂
Hapa hamna kuwashobokea wala nini "Mwanamke ni ua lazima wavutie"
Unataka na wewe dume uandikwe humu jamii forum kwa kipi?
NB: Hawa wote hamna hata mmoja ambaye nishawahi onana naye ila wanavutia na kunukia tu hata huko waliko na hata kupitia uandishi wao, sasa sijui na wenyewe watakua na vigimbi kama vya Nsajigwa au ni kweli wana mvuto.
Na hii ndio list yenyewe🌹🌹🌹View attachment 2856922