Kwa akili zako labda..Mkipigwaga kavu mnakimbiliaga kuita watu Marioo si mkubali kushindwa πππ kwani lazma mshinde kila mada!
Heheheh hii ishazoeleka ndio silaha yenu π omba omba majambazi ya kike! Njaa mbele K nyuma. Chukulieni changamoto mmbadilike msiminyane.Kwa akili zako labda..
Walewale
Aliyekamili hajisifu.Mimi sijihisi, bali nimekamilika
Mimi ni kamili, perfect, mtimilifu, toshelevu.
Ndio maana sihitaji mtu mwenye mapungufu
Embu tafuta neno jipya..Hilo la omba omba na majambazi limeshachacha.Heheheh hii ishazoeleka ndio silaha yenu π omba omba majambazi ya kike! Njaa mbele K nyuma. Chukulieni changamoto mmbadilike msiminyane.
Kila mtu ashinde mechi zake!Mkipigwaga kavu mnakimbiliaga kuita watu Marioo si mkubali kushindwa [emoji23][emoji23][emoji23] kwani lazma mshinde kila mada!
Nawasikitikia maana ni ngumu sana kuwa na mtu ambae loyalty yake inaishia pale pesa yangu inapoishia πππππEmbu tafuta neno jipya..Hilo la omba omba na majambazi limeshachacha.
Usiumie kwa wanaoendekeza njaa mbele k nyuma ..ukitaka kuw nao sambamba nawe gawa ulichonacho..Acha wivu.
Acha kuwasikitikia wasiojisikitia..Nawasikitikia maana ni ngumu sana kuwa na mtu ambae loyalty yake inaishia pale pesa yangu inapoishia πππππ