Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Mimi sijaja kuchora wenzangu bhana usinigombanishe na wadada wenzangu Hahahahahahahaha.. Halafu me mwenyewe Uzi siupati tena sijui kuna nn
😂😂fekiNafahamu kuwa una sura nzuri tu
Wanasemaga me nafwanana naye saana ila me najiona mgumu nimekuja kuungana na wenzangu...Ila mkuu kumbe ulikuwa kwa ule Uzi mbona hukutupia kapicha?Hahahaha
Sasa kwa sifa zile ,humu unafanya nn? Km sio kuwachora tu ?
Na ukakiri kabisa kuwa ni kweli mmefanana na murembo yule
Sio kundi lako jitoeWanàanzaje kunitoa kwamfano!!!!
Duh haya kama umeamua kuifanya sura yako nzuri kuwa mbaya[emoji23][emoji23]feki
Basi sawa.Kama yako
haya mnazarethDuh haya kama umeamua 2kuifanya sura yako nzuri kuwa mbaya
Hahaha..asante kwa appreciation bossHahahah uko vizuri basi
Sumu ndo za kujipoza chunguza utagundua.wazuri sana wachache sana kuolewa na kati ya hao ndoa zinamtikisiko[emoji23][emoji23]wafatilie humu kuna mmjoa kasema wanapitaga kwetu kujipoza ila kuoa wanaoa sumu
Sio kundi lako jitoe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]unapmbana na haliHaha.. Je mimi sura ngumu na tako sina nafanyaje?
Basi sawaTena na uongozi inabidi nipewe.
Mie naona kwa leo tuhairishe kikao cha familia itabidi watuelewe tu tumetingwa na mambo ya dunia kwa sasaKaka mkubwa uanajua wewe ndiye unatakiwa kuongoza kikao cha familia?
😊😊Sumu ndo za kujipoza chunguza utagundua.wazuri sana wachache sana kuolewa na kati ya hao ndoa zinamtikisiko
Wala huna haja ya kuchunguza wazuli wanajengewa hadi nyumba ila ndoa hawapati[emoji4][emoji4]
Wala huna haja ya kuchunguza wazuli wanajengewa hadi nyumba ila ndoa hawapati
Wanasemaga me nafwanana naye saana ila me najiona mgumu nimekuja kuungana na wenzangu...Ila mkuu kumbe ulikuwa kwa ule Uzi mbona hukutupia kapicha?
Mademu wenye sura ngumu,ndo walingaji namba moja.......zamani(vyuoni/shuleni) mi nilikuwaga na kautaratibu kakuwasaidia(kuwatongoza) ili na wao wajione ni watu lakini nilikuwa nakutana na majibu ya ajabu ajabu na mizinguo mingi,nkaamua kuachana nao wafe na ugwadu wao.Halafu huwa hawana shobo, maringo, na kujidai kama hawa warembo na wazuri kupindukia wanaotzamwa na wengi... Ukimpata sura ya kauzu anakukubal na kutulia na ww, cha msng usmchanganye na hao wengn