Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

kwi kwi ya nini tena?

maziwa yananyweka in a very slow motion bana! we dont hurry..!

you are happily welcomed..!

thanx buddy!
I appreciate your appreciation
lovely dreams
Good night!
:busu
 
we mdada bado tu unanitafuta....hebu lala na mumeo usiku huu.... wenzako wanavyoenda choon wanatoa m..vi ww unatoa akili! umebaki na makapi tu huko upstairs.
naona hapa ubongo wako umefuraaahi

ana hasara na uchungu mkuu alokuzaa kwa akili hij yakuvukia barabara
 
Umevurugwa wewe sio bure na huku jf ndio kwa kutolea hasira zako ....pole
 
japo kitambi kwa mwanamke kwangu ni turn off

hii thread ni ze comedy
 
we tangu nikuambie kwamba ww ni mzuri basi umenigandaa ili niendelee kukusifia....mie ntakupa tu sifa yako shost.

Hilo zuzu si ni punga au wewe hujui hilo? ana basha wake humu mvaa vipedo anaitwa shethaan khataan.
 
Desktop1-6.jpg

Dah huyu Lara1 nae utata
 
we mdada bado tu unanitafuta....hebu lala na mumeo usiku huu.... wenzako wanavyoenda choon wanatoa m..vi ww unatoa akili! umebaki na makapi tu huko upstairs.



ha ha ha ha

basi Dada imetosha kwa Leo hilo povu utaniota bureee

b.t.w I love you

mwaaaaaaah
 
hata mi naona! kaogopa kabisa hata kuongea na wewe tena..!

eti lusungo? una ubavu kweli hata mmoja wa kuongea na huyu kigori?

unaweza kumwangalia uso kwa uso bila kutetemeka?



usijali

naogopa jehanam tuu

ningemmaliza
 
Last edited by a moderator:
kaseme! mi mwanasheria bana!

natembea na ushahidi kila sehemu!

yakikukuta, nakufunga kuanzia wewe, mumeo Window7, nyumba yenu, mifugo yote mnayofuga, ndugu zenu woote mpaka waliokuwepo wakati unatoa umbea huo!!

haya, chap chap kaseme!

Kijana acha kuchezea ndoa za watu. Wife J.lee achana nae huyu hasira zishanipanda nitabadilisha zoezi soon.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom