J.lee
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,672
- 834
owkay!kwani vipi? we endelea na Ngalikihinja.. he is also a cool guy..!
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
owkay!kwani vipi? we endelea na Ngalikihinja.. he is also a cool guy..!
kwi kwi ya nini tena?
maziwa yananyweka in a very slow motion bana! we dont hurry..!
you are happily welcomed..!
haaa haaa ungejua mi nna Excel ni peace and love, ww tu na umburula wako.
naona hapa ubongo wako umefuraaahi
ana hasara na uchungu mkuu alokuzaa kwa akili hij yakuvukia barabara
thanx buddy!
I appreciate your appreciation
lovely dreams
Good night!
:busu
hamna mkuu nampa dawa tu
we tangu nikuambie kwamba ww ni mzuri basi umenigandaa ili niendelee kukusifia....mie ntakupa tu sifa yako shost.
hawezi kuniangalia usoni anaogopa kwenda jehanam
we mdada bado tu unanitafuta....hebu lala na mumeo usiku huu.... wenzako wanavyoenda choon wanatoa m..vi ww unatoa akili! umebaki na makapi tu huko upstairs.
Kuku sijawahi muona anawika wala kudonoa ntamuitaje jogoo?
usijali
naogopa jehanam tuu
ningemmaliza
kaseme! mi mwanasheria bana!
natembea na ushahidi kila sehemu!
yakikukuta, nakufunga kuanzia wewe, mumeo Window7, nyumba yenu, mifugo yote mnayofuga, ndugu zenu woote mpaka waliokuwepo wakati unatoa umbea huo!!
haya, chap chap kaseme!
hahahaaa!! kwa hiyo mkuu.. ok goodnite bana!
mkuu mi sijaelewa kitu ulichoandika hapo!