Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

hahahaaa!! demba nakwambia hadi raha.. nimeongea kama the boss vile!

hakuna mzaha kudadeki!

ushawahi kusikia eye contact? yani unamwangalia binti jichoni bila kukwepa..! mbona nimependwa leo!
mmmh umeshapendwa tayari? basi ww ni nourmer hapana chezea.
 
Mbona Nyie siku hizi Mnafumuka Manyonyo na Mikalio kama hamna akili nzuri lakini tunawavumilia au unadhani vinatupendeza ivo?
 
mmmh umeshapendwa tayari? basi ww ni nourmer hapana chezea.

hapana chezea kabisa... sijawahi ambiwa eti nisindikizwe..! mmh! imagine mwanamke for the first time anakwambia, please can i escort you?.. i rejected the offer!
 
mhh mkuu vipi kuna nini?

mkuu kuna mtoto mmoja anajifunza tabia za vidole juu hapa, imagine he is a 40 years old boy.. actually hawezi itwa mwanaume kamili.. let him be a boy!

mwanaume gani unaongea kama isha mashauzi akiwa anatoa mipasho bana!
 
hapana chezea kabisa... sijawahi ambiwa eti nisindikizwe..! mmh! imagine mwanamke for the first time anakwambia, please can i escort you?.. i rejected the offer!

I can't believe my nose YOU did it!
 
I can't believe my nose YOU did it!

hahahaaa!!! it was far though she was so eager to go with me!

sasa akishanisindikiza nani atamrudisha? si tutafanya kwenda rudi kwenda rudi?

what was so important was the phone number.. over!

other things remain constant..!!
 
mmmh umeshapendwa tayari? basi ww ni nourmer hapana chezea.



naona hapa ubongo wako umefuraaahi

ana hasara na uchungu mkuu alokuzaa kwa akili hij yakuvukia barabara
 
I'm still lost in the jungle of confusion....
which words?
did you hear me pronounce them?
how?

you are still confusing me you knw!

everything that you pronounce here, the way your lips shake... oh my!
 
naona hapa ubongo wako umefuraaahi

ana hasara na uchungu mkuu alokuzaa kwa akili hij yakuvukia barabara

a a a a a a a !! lusungo ntaku-arrest sasa hivi!

usiwasumbue hawa wageni wangu eenh! sawa?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom