Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,603
- 13,654
mmmh umeshapendwa tayari? basi ww ni nourmer hapana chezea.hahahaaa!! demba nakwambia hadi raha.. nimeongea kama the boss vile!
hakuna mzaha kudadeki!
ushawahi kusikia eye contact? yani unamwangalia binti jichoni bila kukwepa..! mbona nimependwa leo!