Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Nakupenda uokoke umrudie bwanako Yesu kwa kutakataka wake za watu shauri yako mie yupo laaziz wangu wala sina shida na ntu mie,inaonyesha hujampiga siku nyingi mkeo eeee maana nyie kina tata mura hamkawii kuzaba screen ya smu
Mimi nilisema huyu anajidai kuleta mahubiri yake humu hana lolote ni mdau wa kawaida tu. Sasa mmeyaona anaanza kutafuta wadada wa humu Jamvini kwani kwanisani kwake hakuna!!Mtumishi naona umeanguka kiroho
Mimi nilisema huyu anajidai kuleta mahubiri yake humu hana lolote ni mdau wa kawaida tu. Sasa mmeyaona anaanza kutafuta wadada wa humu Jamvini kwani kwanisani kwake hakuna!!
Mtuwache tupumuweeeeee miaka mia 8!!!! Khaaaaaa.......
Mama mchungajiiiiiiii.....
Njoo uniombee niache mambo yangu yale..Amina babaaaaaaa
Mimi nilisema huyu anajidai kuleta mahubiri yake humu hana lolote ni mdau wa kawaida tu. Sasa mmeyaona anaanza kutafuta wadada wa humu Jamvini kwani kwanisani kwake hakuna!!
Njoo uniombee niache mambo yangu yale..
kumbe ulikereka ndo mana mkashinikiza nitolewe?
Nikuombee uache wakati mi mwenyewe siwezi kuyaacha!!!
hata huyu mchungaji ni teja tu kwani hujawahi kumuona akipita pita kwenye hicho kichochoro?
wow!...naona mbebes na vitambi vyenu mnaelimishana safi sana u knw!!...Lusungo, excel, evenly salt mnaonekana ni mbebes wakare u knw!!..yaani super viwangoz u knw!!...tatizo Le vitambiz u knw!!...punguzeni gambe mpate soko la maana mbebes wakareee!!
Sio ulinikera mimi tu bali ulikera jamii nzima iliyokuwepo kwa kujivika ngozi ya kondoo wakati unajijua ni chui mwenzetukumbe ulikereka ndo mana mkashinikiza nitolewe?
Hovyooo!!!!
wow!...naona mbebes na vitambi vyenu mnaelimishana safi sana u knw!!...Lusungo, excel, evenly salt mnaonekana ni mbebes wakare u knw!!..yaani super viwangoz u knw!!...tatizo Le vitambiz u knw!!...punguzeni gambe mpate soko la maana mbebes wakareee!!
naomba update. What happened to this guy pretending to be a preacher?Sio ulinikera mimi tu bali ulikera jamii nzima iliyokuwepo kwa kujivika ngozi ya kondoo wakati unajijua ni chui mwenzetu