Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Mleta thread, kuna tofauti kubwa sana kati ya Jokate na Shilole

halafu wewe mbebes sijui una nye.g.e!!...umeanza kunitafuta tokea kule kwenye uzi mchafu kwa afya wa mama du keita!..we leta unafiki wako kama wa fake pastor Lusungo!...ntakuba.ka kavu kavu!
 
Na kweli mkuu hata kama tukifika hata wake zetu wote atakuwa ameshawatafuna huyu!



Nani kakwambia mi mchungaji?

Hivi mnasomaga post na kuelewa au huwa mnahamaki na ujumbe?

kuweka ushuhuda kuna maanisha mimi mchungaji?
 
Hapo hakuna mchungaji, kwenye thread ya uteuzi wa mgombea ubunge kwa ticket ya CHADEMA Kalenga ameahidi kutoa tiGO kama CHADEMA watashinda.


mkuu Baba V

unaweza kuacha haya?

nakuheshimu sana coz wewe ni mwalimu na naamini unauelewa wa kutosha juu ya mambo...

exaggerated point si unaijua kazi yake? mfano mramba aliposema wananchi wale nyasi ndege ya rais inunuliwe kwa akili yako unaamini ingetokea?

yesu aliposema ni rahisi ngamia kupenya ktk tundu la sindano alimaanisha nini?

Utambue kuwa hapa si wote wanauelewa mkubwa kama wewe wengi huishia kwenye knowledge tu hawafiki kwenye comprehension

nakuheshimu sitaki nikuvunjie heshima coz sote tunakutanaga kule kwenye akili kubwa....

kusema kwangu vile ilikuwa ni kuonyesha jinsi gani ilivyokua ngumu kushinda...

vichwa maji watauchukulia ujumbe kama ulivyo niwie radhi nduguyo

kila heri tukutane kalenga kumbuka unyonge sasa basi...

wasalaaam
 
Last edited by a moderator:
mkuu Baba V

unaweza kuacha haya?

nakuheshimu sana coz wewe ni mwalimu na naamini unauelewa wa kutosha juu ya mambo...

exaggerated point si unaijua kazi yake? mfano mramba aliposema wananchi wale nyasi ndege ya rais inunuliwe kwa akili yako unaamini ingetokea?

yesu aliposema ni rahisi ngamia kupenya ktk tundu la sindano alimaanisha nini?

Utambue kuwa hapa si wote wanauelewa mkubwa kama wewe wengi huishia kwenye knowledge tu hawafiki kwenye comprehension

nakuheshimu sitaki nikuvunjie heshima coz sote tunakutanaga kule kwenye akili kubwa....

kusema kwangu vile ilikuwa ni kuonyesha jinsi gani ilivyokua ngumu kushinda...

vichwa maji watauchukulia ujumbe kama ulivyo niwie radhi nduguyo

kila heri tukutane kalenga kumbuka unyonge sasa basi...

wasalaaam

kumbe we ndo baba mchungaji feki wanaemzungumzia?......mzee wa jicho!...mzee wa misamba!...hivi kanisa gani vileee! Halafu we baba v mbona unamtoa povu baba pastor hadi anakosa raha mweh!..
 
Last edited by a moderator:
mkuu Baba V

unaweza kuacha haya?

nakuheshimu sana coz wewe ni mwalimu na naamini unauelewa wa kutosha juu ya mambo...

exaggerated point si unaijua kazi yake? mfano mramba aliposema wananchi wale nyasi ndege ya rais inunuliwe kwa akili yako unaamini ingetokea?

yesu aliposema ni rahisi ngamia kupenya ktk tundu la sindano alimaanisha nini?

Utambue kuwa hapa si wote wanauelewa mkubwa kama wewe wengi huishia kwenye knowledge tu hawafiki kwenye comprehension

nakuheshimu sitaki nikuvunjie heshima coz sote tunakutanaga kule kwenye akili kubwa....

kusema kwangu vile ilikuwa ni kuonyesha jinsi gani ilivyokua ngumu kushinda...

vichwa maji watauchukulia ujumbe kama ulivyo niwie radhi nduguyo

kila heri tukutane kalenga kumbuka unyonge sasa basi...

wasalaaam

Kumbe una akili? Sa kwa nn ulifika mbali hadi utoe vague example wa kuliwa tigo? That was extreme banaa
 
Last edited by a moderator:
Kumbe una akili? Sa kwa nn ulifika mbali hadi utoe vague example wa kuliwa tigo? That was extreme banaa

it was not extreme...

kaka katika maisha ya mashindano watu hutoa kauli ambazo si kawaida kutokea katika maisha ya mwanadamu ili kukuza uzito wa jambo...

Mfano watu wengi husema wako tayari kufa endapo swala fulani litatokea ili kutetea kile wanachoamini....

Kutoa kwangu kauli ile ilikuwa ni kuelezea namna gani ilivyongumu kupata ushindi...

Ni sawa na mtu kusema nipo tayari kunya kutoka DSM mpaka CHALINZE endapo jambo fulani litatokea

its matter of expressing feelings that we have

umeona sasa vichwa maji walivyoipokea? mbona kule hawakushangaa sana kama huku?

Tunatofautiana sana....
 
it was not extreme...

kaka katika maisha ya mashindano watu hutoa kauli ambazo si kawaida kutokea katika maisha ya mwanadamu ili kukuza uzito wa jambo...

Mfano watu wengi husema wako tayari kufa endapo swala fulani litatokea ili kutetea kile wanachoamini....

Kutoa kwangu kauli ile ilikuwa ni kuelezea namna gani ilivyongumu kupata ushindi...

Ni sawa na mtu kusema nipo tayari kunya kutoka DSM mpaka CHALINZE endapo jambo fulani litatokea

its matter of expressing feelings that we have

umeona sasa vichwa maji walivyoipokea? mbona kule hawakushangaa sana kama huku?

Tunatofautiana sana....

Umeeleweka boss
 
Umeona eeh...it can be done!

Nina marafiki zangu uwa nawapa changamoto; kuna mmoja ananichekeshaga anasema anataka kuondoa kitambi tu t.a.k.o. lake libaki....

namwambia kama hauko tayari kupungua ...including nyuma...basi utabaki na kitambi chako...

Haya mambo yanawezekana ukiwa na nia...yes kwa waliozaa inachukua muda kujenga misuli ya tumbo (lisilegee) lakini ni very possible...unaanza na kupungua baadae unajenga mwili unavyotaka uwe.


Wazee huyu dada hajakosea. Kitambi nikero sana, hapa nimejaribu kukitoa naona kinarespond taratibu sana. lazima tupambane na vitambi mlegezo.
 
Yaani wadada wa siku hizi sijui wakoje,wanakeraaaa.

Unakuta dada mzuri ajabu,shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh,kuja mbele sasa,chevuuuu,tumbo hilo!,uzuri wote chalii!

Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho,mnakula sana kuliko hata midume,machips mayai, manyama choma, ma bia, ma baga, sijui manini yote yenu! Sasa kwa staili hiyo kwanini msitoke vitambi!

Yaani unakuta mwanaume na mwanamke wanapita hata hujui me ni nani na ke ni nani,kwani mki maintain shape kuna ubaya gani,

We huoni watoto kama Jokate mwegelo wanavyo pendeza hadi raha,sio kama Shilole hadi anaogopesha na ule mtumbo,au mfano mzuri mdada Lara1 ni bonge la mtoto!..yupo flat sehem za flat na ameumuka sehemu zinazohitajika!
Ni ushauri tu wadada!

dr.holygrail
Yaelekea ulishindwa kukifikia kitumbua kwa hukula vizuri :smile-big:
 
halafu wewe mbebes sijui una nye.g.e!!...umeanza kunitafuta tokea kule kwenye uzi mchafu kwa afya wa mama du keita!..we leta unafiki wako kama wa fake pastor Lusungo!...ntakuba.ka kavu kavu!
huogopi ukimwi..??
 
yaani wadada wa siku hizi sijui wakoje,wanakeraaaa.

Unakuta dada mzuri ajabu,shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh,kuja mbele sasa,chevuuuu,tumbo hilo!,uzuri wote chalii!

Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho,mnakula sana kuliko hata midume,machips mayai, manyama choma, ma bia, ma baga, sijui manini yote yenu! Sasa kwa staili hiyo kwanini msitoke vitambi!

Yaani unakuta mwanaume na mwanamke wanapita hata hujui me ni nani na ke ni nani,kwani mki maintain shape kuna ubaya gani,

we huoni watoto kama jokate mwegelo wanavyo pendeza hadi raha,sio kama shilole hadi anaogopesha na ule mtumbo,au mfano mzuri mdada lara1 ni bonge la mtoto!..yupo flat sehem za flat na ameumuka sehemu zinazohitajika!
Ni ushauri tu wadada!

Dr.holygrail
uvaaji wa suruali ndio unaowatoa matumbo wadada
 
Back
Top Bottom