Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ooow! i didnt think this.. but ur all women, right?
you are welcomed mamii!
it was not extreme...
kaka katika maisha ya mashindano watu hutoa kauli ambazo si kawaida kutokea katika maisha ya mwanadamu ili kukuza uzito wa jambo...
Mfano watu wengi husema wako tayari kufa endapo swala fulani litatokea ili kutetea kile wanachoamini....
Kutoa kwangu kauli ile ilikuwa ni kuelezea namna gani ilivyongumu kupata ushindi...
Ni sawa na mtu kusema nipo tayari kunya kutoka DSM mpaka CHALINZE endapo jambo fulani litatokea
its matter of expressing feelings that we have
umeona sasa vichwa maji walivyoipokea? mbona kule hawakushangaa sana kama huku?
Tunatofautiana sana....
I am, not sure about the other one. Lakini kwa hesabu za haraka haraka naona ni dada, kama ni vinginevyo, nina imani ataniwia radhi.
Hivi wewe utajisikiaje ukiambiwa na mpenzi wako tumbo lako baya?
Huyu anakuja kutafuta umaarufu JF tu, hana lolote
Jawilat.. thanks for changing the avatar my friend!Kwani lazima umwambie tumbo baya??si unamwambia kistaarabu kama ni mwelewa ataelewa sana tu..
analeta usanii kwenye jumba la sanaa eenh!
actually, he is now clicking to 40.. but iam taking him as a boy of 10!
Kwani lazima umwambie tumbo baya??si unamwambia kistaarabu kama ni mwelewa ataelewa sana tu..
my friend, wengine hawajipendei, yanakuja baada ya kuzaa halafu wanashindwa kuyacontrol, sijajua umri wako ila iyo kitu ninasikia ni ngumu kuikwepa kama mama anazalishwa mara kwa mara, pamoja na kwamba kuna miili mingine imebarikiwa kutokuwa na tumbo ila kwa waliowengi hawapendi ila yanakuja pamoja na kujitahidi kuyazuia. chukulia mfano mama amejifungua kwa operation, hawezi kufanya mazoezi na hata kufunga mkanda anaweza kushindwa asije kufumua mshono hivyo analiacha tu tumbo linakuwa kubwa kwa miezi ile sita hatakiwi kulivuruga, ndio inatokea hivyo. hivyo usiongee kama mtoto mdogo wakati mwingine, tuwaheshimu hawa mama na dada zetu, wana mizigo mingi sana ambayo sisi wababa tusingeweza kuibeba kabisa kama tungekuwa wao.
Thanks for appreciation...hiyo imeendana na mimi eti?
angalau mamii? labda uniambie ukoje kiundani (kwa pm lakini ennh! humu majanga!) ili nifanye final tachi tutafute kitu kingine!
Ishia hapo hapo budaa...