LILENDI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 1,400
- 496
mama mzima tu! hapo naashumu mko sawa kiumri..hapana chezea LILENDI hahahahaha!marrrrrrrrrrrrrrrhabaaaaa!!!!
mama hajambo? hahahaaa!!! aisee najifurahia tu hapa niliko!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mama mzima tu! hapo naashumu mko sawa kiumri..hapana chezea LILENDI hahahahaha!marrrrrrrrrrrrrrrhabaaaaa!!!!
mama hajambo? hahahaaa!!! aisee najifurahia tu hapa niliko!
mama mzima tu! hapo naashumu mko sawa kiumri..hapana chezea LILENDI hahahahaha!
Dr kuna mtu anaitwa Gogle nimemwambia akutafute maana mnaendana sana.
haya haya madam... ushapata breakfwasti turudi kwenye mada... ukinitaka zaidi njoo pm au jongea cc..
sijawahi kufika PM... unaweza nielekeza nafikaje huko from where I'm? Nipo kinondoni hapa
hahaaa!! kinondoni manyanya, morrocco ama ubalozini?
kuna PM nyingi saaana hapo.. naweza kukuelekeza!
ubalozini
ahaaa!! kwenye hio kona ya american embassy eenh?
ngoja nchukue private jet nije..
I'm waiting ooh!
Dah hawa jamaa wanaendana sana Gogle na mtoa hii post
yaani wadada wa siku hizi sijui wakoje,wanakeraaaa.
Unakuta dada mzuri ajabu,shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh,kuja mbele sasa,chevuuuu,tumbo hilo!,uzuri wote chalii!
Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho,mnakula sana kuliko hata midume,machips mayai, manyama choma, ma bia, ma baga, sijui manini yote yenu! Sasa kwa staili hiyo kwanini msitoke vitambi!
Yaani unakuta mwanaume na mwanamke wanapita hata hujui me ni nani na ke ni nani,kwani mki maintain shape kuna ubaya gani,
we huoni watoto kama jokate mwegelo wanavyo pendeza hadi raha,sio kama shilole hadi anaogopesha na ule mtumbo,au mfano mzuri mdada lara1 ni bonge la mtoto!..yupo flat sehem za flat na ameumuka sehemu zinazohitajika!
Ni ushauri tu wadada!
Dr.holygrail
mimi nahisi ni mmoja ila ana multiple IDs, angalia mfumo wa uandishi wao na mada zao.
haya.. hebu choma ndani kwanza hapo, niongee kwanza na hili lidogo lilipata ziro ya 48! imagine, ziro ya point 48!
mmhh! ziro za kizazi kipya hizo. kajitahidi lkn hongera zake.
From the medical point of view hivo vitambi si afya, jamaa mtampondea sana but still kaweka point, na vitambi si kwa wanawake tu, wanaume nao wanahusika, futa hilo unajaza hapo halina msaada, mwisho wa siku kufa mapema tu kwa dvimagonjwa visivyo vya msingi, afu come on ppo, hivi kuna mtu ambaye anakua turned on na kitambi kweli? watu kutunatuna si mishe, inatakiwa kua na muscles, sema bongo napo hata gym shida, tujaribu kulinda afya zetu, tuangalie na misoc tunayokula, mbadilishe misoc si kila siku wali maharage ukichange samaki siku moja au nyama.. Hadi wenye hela mmeshindwa kununua gym tools kweli? msivunge hamna muda na afya zenu, huku muda wa nyumba ndogo unapatikana,..
wizara imepanua goli ili watu wafunge magoli mengi. imagine wangekuwa bado wamebana magoli yeye angepata ngapi?aaah wapi.. yani grade zipo mpaka E , b plain hadi D .. how comes? ziro nilipeleke wapi sasa?
wizara imepanua goli ili watu wafunge magoli mengi. imagine wangekuwa bado wamebana magoli yeye angepata ngapi?
si ajabu hata ziro angeikosa, achilia mbali hiyo ziro ya 48.
mfariji tu kuwa kupata ziro pia ni kufaulu ila sio kwa kiwango cha kumfanya aendelee mbele ktk elimu ya secondary.
lack of a comforter my result to his/her self-destruction due to resentment depression and frustration.
he/she must be going through serious agony, the agony of failure and seeing his/her future doomed.
so sad. I feel sorry for him/her!
haya ahsante LILENDI... you speak!! duh.. mwakani tunakupa jimbo la uchaguzi kabisaa!!