Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

haya haya madam... ushapata breakfwasti turudi kwenye mada... ukinitaka zaidi njoo pm au jongea cc..

sijawahi kufika PM... unaweza nielekeza nafikaje huko from where I'm? Nipo kinondoni hapa
 
yaani wadada wa siku hizi sijui wakoje,wanakeraaaa.

Unakuta dada mzuri ajabu,shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh,kuja mbele sasa,chevuuuu,tumbo hilo!,uzuri wote chalii!

Tatizo siku hizi mumezidi kuwa waroho,mnakula sana kuliko hata midume,machips mayai, manyama choma, ma bia, ma baga, sijui manini yote yenu! Sasa kwa staili hiyo kwanini msitoke vitambi!

Yaani unakuta mwanaume na mwanamke wanapita hata hujui me ni nani na ke ni nani,kwani mki maintain shape kuna ubaya gani,

we huoni watoto kama jokate mwegelo wanavyo pendeza hadi raha,sio kama shilole hadi anaogopesha na ule mtumbo,au mfano mzuri mdada lara1 ni bonge la mtoto!..yupo flat sehem za flat na ameumuka sehemu zinazohitajika!
Ni ushauri tu wadada!

Dr.holygrail


loh kweli watu wengne awajui fursa

mpwa ujui tu kuyaachezea hayo matmbo yanaraha yaketmpwa wengne ni starter
 
From the medical point of view hivo vitambi si afya, jamaa mtampondea sana but still kaweka point, na vitambi si kwa wanawake tu, wanaume nao wanahusika, futa hilo unajaza hapo halina msaada, mwisho wa siku kufa mapema tu kwa dvimagonjwa visivyo vya msingi, afu come on ppo, hivi kuna mtu ambaye anakua turned on na kitambi kweli? watu kutunatuna si mishe, inatakiwa kua na muscles, sema bongo napo hata gym shida, tujaribu kulinda afya zetu, tuangalie na misoc tunayokula, mbadilishe misoc si kila siku wali maharage ukichange samaki siku moja au nyama.. Hadi wenye hela mmeshindwa kununua gym tools kweli? msivunge hamna muda na afya zenu, huku muda wa nyumba ndogo unapatikana,..
 
haya.. hebu choma ndani kwanza hapo, niongee kwanza na hili lidogo lilipata ziro ya 48! imagine, ziro ya point 48!

mmhh! ziro za kizazi kipya hizo. kajitahidi lkn hongera zake.
 
From the medical point of view hivo vitambi si afya, jamaa mtampondea sana but still kaweka point, na vitambi si kwa wanawake tu, wanaume nao wanahusika, futa hilo unajaza hapo halina msaada, mwisho wa siku kufa mapema tu kwa dvimagonjwa visivyo vya msingi, afu come on ppo, hivi kuna mtu ambaye anakua turned on na kitambi kweli? watu kutunatuna si mishe, inatakiwa kua na muscles, sema bongo napo hata gym shida, tujaribu kulinda afya zetu, tuangalie na misoc tunayokula, mbadilishe misoc si kila siku wali maharage ukichange samaki siku moja au nyama.. Hadi wenye hela mmeshindwa kununua gym tools kweli? msivunge hamna muda na afya zenu, huku muda wa nyumba ndogo unapatikana,..

Kweli kabisa ni point ya muhimu. Vitambi ni matatizo si afya na pia havipendezi. Tatizo hili lipo jinsia zote tu. Wote inatakiwa kuchukua hatua.
 
aaah wapi.. yani grade zipo mpaka E , b plain hadi D .. how comes? ziro nilipeleke wapi sasa?
wizara imepanua goli ili watu wafunge magoli mengi. imagine wangekuwa bado wamebana magoli yeye angepata ngapi?
si ajabu hata ziro angeikosa, achilia mbali hiyo ziro ya 48.

mfariji tu kuwa kupata ziro pia ni kufaulu ila sio kwa kiwango cha kumfanya aendelee mbele ktk elimu ya secondary.
lack of a comforter my result to his/her self-destruction due to resentment depression and frustration.
he/she must be going through serious agony, the agony of failure and seeing his/her future doomed.
so sad. I feel sorry for him/her!
 
wizara imepanua goli ili watu wafunge magoli mengi. imagine wangekuwa bado wamebana magoli yeye angepata ngapi?
si ajabu hata ziro angeikosa, achilia mbali hiyo ziro ya 48.

mfariji tu kuwa kupata ziro pia ni kufaulu ila sio kwa kiwango cha kumfanya aendelee mbele ktk elimu ya secondary.
lack of a comforter my result to his/her self-destruction due to resentment depression and frustration.
he/she must be going through serious agony, the agony of failure and seeing his/her future doomed.
so sad. I feel sorry for him/her!

haya ahsante LILENDI... you speak!! duh.. mwakani tunakupa jimbo la uchaguzi kabisaa!!
 
Last edited by a moderator:
haya ahsante LILENDI... you speak!! duh.. mwakani tunakupa jimbo la uchaguzi kabisaa!!

being a political leader is the best thing I hate the most.
may be I'll be a political leader in my next world or in my dream
but not when I'm still alive or awake.
Heaven knows how much I detest to a leader, not to think of being a political leader.
 
Back
Top Bottom