Wanawake wenzangu, mwanaume yupi mwenye mvuto kwako humu JF?

Kuna thread moja nilishindwa kuelewa tofauti ya wanawake na wanaume walivyokuwa wanasutana huku wamebinua midomo, na mikono... kazi sana..
 
Haya sasa mwanaume Mwenye akili atakua ashaelewa hapa!!
 
Jaman nyie wadada wa jf nasubiri na mi mnitaje

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…