green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
- Thread starter
-
- #81
Haha haha safi sana we ndio mwanamke unatafutwa ila nimecheka hapo uliposema asiwe muwa Sana [emoji13][emoji13]Mrefu,handsome asiwe muwa sana na asiwe nyanya sana katikati na awe vizuri 6Γ6,pesa kila mtu ana zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok, kumbe umeolewa tayari?Tunamaanisha huwa hatuangalii vitu vingine zaidi ya uchumi hakipo kingine mkuu yani ni pesa , pesa , pesa mpaka mwisho vifua kwa teenagers kabla sijakua na kabla sijaolewa nakumbuka nilikua napenda mwanaume mweusi mrefu mwenye meno meupe na macho meusi lol lkn nilikuja kuolewa tofauti kabisa na vigezo vya muonekano tofauti nikisema nirejee hivyo vigezo vya muonekano nilifeli pamoja na hayo nikakituliza kabisa[emoji16] so nikaelewa kuwa pesa ni kitu kingine mkuu wee acha tuu
Inaonekana mefanya research ya kutosha!Samahani mtoa mada ni kwanini hao wenye shape ya namba moja huwa kamjamaa kamenyweaaa, kwani ukipiga tizi kamjamaa kanapotea?
Game iwe nzuri halafu ila kama huna hela tena utachoshaMara nyingi nimeona vijana wanapambana kutengeneza shape kua mwonekano mzuri badala ya kutafuta pesa. Naomba masister zangu mtuweke wazi mbali na pesa mnavutiwa na shape ipi hasa kwa sisi wanaume wenu vitambi, slim au mwili mkubwa (mbavu)View attachment 1069700
muhogo,nazi,karanga,tende,asali
Hujui kusoma hata picha huoni?Inaonekana mefanya research ya kutosha!
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
- KANA -
[emoji122][emoji122][emoji122] This is some philosophical sh*t... [emoji109]Ukiwa na hela ......hiyo ishu lazima ikushinde tu
Ukiwa na nguvu za kiume.....hela huwezi kuwa nayo
Na haya mambo yanategemeana ...hela tu bila nguvu ....kugongewa ni lazima
Nguvu bila hela ...kugongewa ni lazima
Sent using Jamii Forums mobile app
nimependa ueongea ukweli,,to be honest wanawake wanapenda kukunwa vizuri aise,,,,na kuna mmama nilimsugua kwa kila rafu nilimtindua kihuni sana nikajua atamind nikimaliza,,cha ajabu kaiganda kama ntaPesa pesa pesa
Hamna mwanamke asiyependa uhakika wa maisha yake na wanae
Tunatofautiana kuyavumilia mapito magumu kiuchumi
Lakini tangu zamani ilikuwa binti akipata mchumba itaangaliwa familia ya mchumba wake uwezo wake kiuchumi kama idadi ya mifugo, mashamba nk
Utaulizwa mumeo mtarajiwa anafanya shughuli gani
Sijishughulishi kabisa na muonekano wa mwanaume
Mwanaume awe na uchumi mzuri + nguvu za kiume......dunia kwake ni pepo
Sent using Jamii Forums mobile app
hitaji la mwanamke kwenye good sex ni zaidi kuliko kwa mwanaume nimegundua hilo..na hua wanapenda sana kutinduliwa vizuri huko chiniMrefu,handsome asiwe muwa sana na asiwe nyanya sana katikati na awe vizuri 6Γ6,pesa kila mtu ana zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda wewe unasemea kwa watoto wa mama au wazee my dear kuna wenye vyote ana pesa na bed anakaza kisawasawa... Mpaka unaweza kimbia [emoji16]
Safi sanaNice, umefunguka vizuri.
Kwa niaba ya chama cha wanaume tutalifanyia kazi. Ujumbe wako tutaufikisha kwenye kamati kuu na kujadiliwa kwa mapana zaidi.
Thank you for sharing your experience.
Sent using Jamii Forums mobile app
nimependa ueongea ukweli,,to be honest wanawake wanapenda kukunwa vizuri aise,,,,na kuna mmama nilimsugua kwa kila rafu nilimtindua kihuni sana nikajua atamind nikimaliza,,cha ajabu kaiganda kama nta
Nakupenda bureeeeUwezo mzuri kiuchumi na nguvu za kiume. ........huyu kwangu ndiye dume la mbegu
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππWe hata uwe na umbo lako la pentagon cha muhimu pesa.
hahahaha,,namshkuru Mungu nipo fresh na hivi naendaga gym kupasha na pia kula vizuri ni mwendo wa kutindua vizuri tuuu,,,achana na kitu inasinyaa na kutanuka yaani ni kusugua kisawasawaHiyo inaitwa heshima mzee!!!! Si kwamba hatujui adabu lakini ukinipa nikashiba kwa nini nisikufanyie masaji na kukanda miguu na mbupu kwa maji ya uvuguvugu.......lakini ukinichafua ........nakuwa mwajuma ndala ndefu tu upambane na shombo zako
Sent using Jamii Forums mobile app
aibu naona mimiVifua vikavyu hivyo hata vinyweleo vya kuamsha amsha hakuna.