Wanawake weusi wana mvuto wa kipekee sana

Ni kweli kabisa japo wana sifa nyingine ya nyongeza ambapo wameibuka kuwa vinara kwenye tabia ya kupendapenda. Sijui sababu wanasifiwa sana au ndio wamekuwa wenye kujaribu kuchovyachovya....ni baadhi ya weusi sio wote japo wengi wao wapo hivi.
 

dada zetu africa tutasameheana mimi kwa hiizi pisi nyeupe sichomoi nyie bado sana unaona unywele huo alafu imagine unakojoa hapo yaani inshort unakuwa unakojoa pazuri!
 
 

Attachments

  • images - 2024-10-13T154021.414.jpeg
    20.4 KB · Views: 5
  • images (100).jpeg
    13.3 KB · Views: 6
  • images - 2024-10-13T154037.263.jpeg
    25.1 KB · Views: 6
 

Attachments

  • bc7ce39acb52b86e4da2de0bb08c0536.jpg
    95 KB · Views: 5
  • 76e291c51f2b6f9eef8587418b6b6b0d.jpg
    81.7 KB · Views: 5
  • b1102bdc0ff86a6974d58d84683b9e95.jpg
    78.3 KB · Views: 4
  • f746b03cac9ad18fb9877139e06993c5.jpg
    119.4 KB · Views: 4
Mshana leo umetoa code ungesubiri kidogo at least desemba πŸ˜…πŸ˜…
Kuna msela wangu ameoa black beauty moja hivi matata sana kupitia yale macho yake makubwa meupe ikikupiga jicho yaani unahisi amejua unachokiwazaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….
Weusi Barikiweni sana afu kwenye ndoa ndio wanaotuliaga ingawa Bwana zao wanamichepuko white kwa ajili ya kuonja tu.πŸ˜…πŸ˜…
 
Naongea kwa niaba ya wanaume wengi, tunapenda natural skin color iwe black iwe brown ila uzuri asilia no enhancement ila sasa coincidentally binafsi pisi niliyowahi kuiona nikasema ndio kweli huyu dada mzuri alikua dark chocolate.

Alafu pisi iliyokua inakimbiza chuoni darasa zima ilikua black pia shepu kama kachorwa, coincidence?
 
Halafu ni watamu balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…