Wanawake weusi wana mvuto wa kipekee sana

Wanawake weusi wana mvuto wa kipekee sana

Wale waliosema black is beauty hawakukosea hata chembe na walikiona hicho wanachosifia katika uhalisia wake
Wanawake weusi bila kupepesa ni warembo na wazuri hasa wanapokuwa natural na vipodozi vichache

Hawa viumbe wana sifa za kuu mbili..
Sifa za ndani na sifa za nje

Sifa za ndani
Wengi hawanuki kikwapa bali hunukia kike
Asilimia kubwa wana joto la kike la asili
Kwa sehemu kubwa ni romantic sana nk

Sifa za nje
Ngozi nyeusi nyororo
Macho makubwa meupe
Meno meupe
Shape
Midomo ya huba
Vidole vya kike nk
Wakibaki hivi hivi huvutia sana.. Lakini wengi hujiharibu kwa
Kuanza kuvaa nywele bandia
Kubandika kope bandia
Kubandika mikucha bandia ya plastic
Kujichubua kwa madawa makali
Kujikoboa kwa kemikali hatari

Mwisho wa siku huonekana kituko.. Ngozi hupoteza ule mng'ao wake wa asili wa kuvutia na kuanza kushambuliwa na magonjwa ya ngozi
Mwisho wa siku mwili mmoja inakuwa kama pepsi Mirinda.. Mabaka kila mahali.. Na kwakuwa ngozi imeshapoteza udhibiti wake wa asili huanza kufa kwa kuoza taratibu na ndipo hapo maharufu ya ajabu ajabu hujitokeza

Na kwakuwa athari za kuoza huanzia ndani ya mwili basi harufu hukimbilia kwenye maeneo yenye ngozi laini zaidi kama ukeni na kwapani

Imagine
Kichwani kuna kemikali zimewekwa
Usoni kuna kemikali zimepakwa
Sehemu nyingine za mwili vilivile
Ngozi ya binadamu ina vitundu vinavyonyonya hizo kemikali zote na kwenda kuleta athari kubwa mwilini
Binti mrembo kabisa alikuwa ananukia kike😋 lakini ghafla anaanza kunuka kikwapa! Ananuka ukeni🥴 .. Badala ya kutafuta chanzo ninini anakimbilia kwa wauza madawa yaleyale yenye kemikali ayaingize huko yakate hizo harufu mbaya

Huku sio kutatua tatizo bali ni kuongeza tatizo.. Mwisho wa siku zile ladha zote mashineni na lile joto vinakufa na kubakiwa na minyama iliyolegea na kuwa na sura ya kutisha sana!😜 mashavu yamelegea kama ya bibi kizee😁 hakuna mnato tena!😭
Big respect kwa wanawake weusi wote waliobaki na ngozi zao asilia.. Mna nafasi yenu maalum sana ndani ya mivungu ya mioyo getu❤📌💪🏿

nawapenda sana📌View attachment 3123502
Ila hata kama huwa sipendi wanawake weusi huyo pichani ni balaaa
 
Black beauty ni wachache sana, na life likikupiga kidogo tu unakua giza.

Ila hawa watoto weupe wa Chuga, Hata asipake mafuta mwaka still anakua relevant machoni pa mwanaume rijali.

Mimi naenda na weupe 💯
 
Sisi tunaopenda rangi za jangwa kama asemavyo babe wangu sweery tucomment wapi 🤣🤣
275b4d3b-5b06-484f-bc8d-2d4b5fae3650.jpeg
 
Amaa kweli uzuri wakitu upo machoni mwa mtazamaji mm weusi sina connection nao kabisaaaa yaani anaweza hawezi kunielewa mm wala mm kumuelewa yeye

Ila wanawake weupe kuna ile connection huwa inanitokeaa nikimuelewa kuna asilimia nyingi sanaaa za yeye kunipenda pia
Aah wapi
e3077385-9c9c-4202-99d7-03cd37936553.jpeg
 
Wale waliosema black is beauty hawakukosea hata chembe na walikiona hicho wanachosifia katika uhalisia wake
Wanawake weusi bila kupepesa ni warembo na wazuri hasa wanapokuwa natural na vipodozi vichache

Hawa viumbe wana sifa za kuu mbili..
Sifa za ndani na sifa za nje

Sifa za ndani
Wengi hawanuki kikwapa bali hunukia kike
Asilimia kubwa wana joto la kike la asili
Kwa sehemu kubwa ni romantic sana nk

Sifa za nje
Ngozi nyeusi nyororo
Macho makubwa meupe
Meno meupe
Shape
Midomo ya huba
Vidole vya kike nk
Wakibaki hivi hivi huvutia sana.. Lakini wengi hujiharibu kwa
Kuanza kuvaa nywele bandia
Kubandika kope bandia
Kubandika mikucha bandia ya plastic
Kujichubua kwa madawa makali
Kujikoboa kwa kemikali hatari

Mwisho wa siku huonekana kituko.. Ngozi hupoteza ule mng'ao wake wa asili wa kuvutia na kuanza kushambuliwa na magonjwa ya ngozi
Mwisho wa siku mwili mmoja inakuwa kama pepsi Mirinda.. Mabaka kila mahali.. Na kwakuwa ngozi imeshapoteza udhibiti wake wa asili huanza kufa kwa kuoza taratibu na ndipo hapo maharufu ya ajabu ajabu hujitokeza

Na kwakuwa athari za kuoza huanzia ndani ya mwili basi harufu hukimbilia kwenye maeneo yenye ngozi laini zaidi kama ukeni na kwapani

Imagine
Kichwani kuna kemikali zimewekwa
Usoni kuna kemikali zimepakwa
Sehemu nyingine za mwili vilivile
Ngozi ya binadamu ina vitundu vinavyonyonya hizo kemikali zote na kwenda kuleta athari kubwa mwilini
Binti mrembo kabisa alikuwa ananukia kike😋 lakini ghafla anaanza kunuka kikwapa! Ananuka ukeni🥴 .. Badala ya kutafuta chanzo ninini anakimbilia kwa wauza madawa yaleyale yenye kemikali ayaingize huko yakate hizo harufu mbaya

Huku sio kutatua tatizo bali ni kuongeza tatizo.. Mwisho wa siku zile ladha zote mashineni na lile joto vinakufa na kubakiwa na minyama iliyolegea na kuwa na sura ya kutisha sana!😜 mashavu yamelegea kama ya bibi kizee😁 hakuna mnato tena!😭
Big respect kwa wanawake weusi wote waliobaki na ngozi zao asilia.. Mna nafasi yenu maalum sana ndani ya mivungu ya mioyo getu❤📌💪🏿

nawapenda sana📌View attachment 3123502
Ni mpaka akiwa mzuri ila akiwa mbaya rangi haimbebi.

Mweupe hata akiwa boko rangi yake inampunguzia ubaya
 
Back
Top Bottom