Wanawake weusi wazuri jamani dah πŸ˜‹

Atakuwa Juma jux au Aristote maana ndio wanaume weusi wenye wanawake weusi ninaowafahamu… si hata video vixen unaona ni weupee

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilitaka kusema wanaume wengi weusi huwa na wadada weupee
Umemsahau mheshimiwa Joseph Mbilinyi aka SuguπŸ˜ƒ
 
ushakutana na black wa macho mviringo ya kuzungusha hlf awe na mwanya wa haja pale kati? weeh weeh weeeh acha kabisa. tatizo lao wakarim sana hawajui kusema No.
 
Hawanipi mzuka kabisa aisee. Labda awe na macho mazuri as eztra package na umbo flani matata kisogo naweza kumuelewa.
 
Hehehee we jamaa weupe hawana soko. Soma comment ya The Boss pale juu
 
🎼🎼 licha ya wangu ufundiii wakanipokonya Minatali 🎼🎼☹️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…