Wanawake weusi wazuri jamani dah 😋

Wanawake weusi wazuri jamani dah 😋

Wanawake weusi wana kitu chao special dah... waliosema tuoe wake wawili hadi wanne na kuendelea hawakukosea.. unakuwa na mweupe mmoja weusi watatu 😊😊

Wadada weusi, sijui chocolate color, maji ya kunde etc chukueni 🌹🌹🌹🌹
ushakutana na black wa macho mviringo ya kuzungusha hlf awe na mwanya wa haja pale kati? weeh weeh weeeh acha kabisa. tatizo lao wakarim sana hawajui kusema No.
 
Wanawake weusi wana kitu chao special dah... waliosema tuoe wake wawili hadi wanne na kuendelea hawakukosea.. unakuwa na mweupe mmoja weusi watatu 😊😊

Wadada weusi, sijui chocolate color, maji ya kunde etc chukueni 🌹🌹🌹🌹
Hawanipi mzuka kabisa aisee. Labda awe na macho mazuri as eztra package na umbo flani matata kisogo naweza kumuelewa.
 
Ona hata wasanii % kubwa madem/ wake zao ni weupe!!!
Nyie mnaoa weusi mnaanza kujatongoza wake zetu weupe, mwishoe mnatuua kwa presha 😄😄

Wadada weupe mko wapi nawapigania soko lenu huku nyie kimya!! Mmoja anionge upapa mweupe wenye v v u zi laiiini km vimalaika😄😄😄😄😄😄
Hehehee we jamaa weupe hawana soko. Soma comment ya The Boss pale juu
 
Back
Top Bottom