Wanawake weusi wazuri jamani dah ๐Ÿ˜‹

Bila picha mkuu ๐Ÿ˜Š๐Ÿค“
 
Hawanipi mzuka kabisa aisee. Labda awe na macho mazuri as eztra package na umbo flani matata kisogo naweza kumuelewa.
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… sema hatuwezi kuwa sawa.. ila kuwa na mixer muhimu sana
 
Wahuni wamepewa utelezi wakaona haitoshi, ikabidi wabembee kwenye lakes hadi wameziacha zimelala kama turubai
Yana raha yake nayo hayo.

Kuna watu wakiona wanawake wa hivyo wanazimiaaa
 
Kuna weupe lkn African nao pia wamoto.

Labda useme weupe wazungu au wachina ndio wabaridi
Weusi wana joto la kipekee hasa maji ya Kunde.. kimuonekano hawavutii sana kama weupe ila ukigusa tu lazima unase
 
Ongezaaaa sautiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umetishaaa sanaa, na umekataa unafikii.
 
Mkulu niwekee jeusi moja halafu limejitwisha kilemba.Mi na mianamke mieusi mbalimbali.Wanawake weusi wote wauwae๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ