Wanawake weusi wazuri jamani dah ๐Ÿ˜‹

Wanawake weusi wazuri jamani dah ๐Ÿ˜‹

Wanawake weusi wana kitu chao special dah... waliosema tuoe wake wawili hadi wanne na kuendelea hawakukosea.

Unakuwa na mweupe mmoja weusi watatu ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š

Wadada weusi, sijui chocolate color, maji ya kunde etc chukueni ๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน๐ŸŒน
Bila picha mkuu ๐Ÿ˜Š๐Ÿค“
 
Hawanipi mzuka kabisa aisee. Labda awe na macho mazuri as eztra package na umbo flani matata kisogo naweza kumuelewa.
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… sema hatuwezi kuwa sawa.. ila kuwa na mixer muhimu sana
 
Kuna weupe lkn African nao pia wamoto.

Labda useme weupe wazungu au wachina ndio wabaridi
Weusi wana joto la kipekee hasa maji ya Kunde.. kimuonekano hawavutii sana kama weupe ila ukigusa tu lazima unase
 
Mtanadi sana sijui chokoleti color,maji kunde ila ukweli mwanamke mweupe anaonekana zaidi!![emoji1][emoji1]

Mwanamke mweusi akiwa na muonekano mbaya ndo anazidi kuwa mbaya zaid[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Mweupe akiwa hata ana muonekano mbaya weupe wake humbeba kupunguza makali madhaifu yake, ataonekana mzuri kinamna
Ongezaaaa sautiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umetishaaa sanaa, na umekataa unafikii.
 
Mkulu niwekee jeusi moja halafu limejitwisha kilemba.Mi na mianamke mieusi mbalimbali.Wanawake weusi wote wauwae๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
Back
Top Bottom