Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kivumbi leo😂Utani wa ngumi huo ujue🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivumbi leo😂Utani wa ngumi huo ujue🤣
wacha utapeli we si ni cheupe rudisha maua hayoNayapokea🤗🤗
Jamani jamaniNa hawafilisi mwanaume...kuliko weupe
Ukiona mtu kafilisika Tu ujue ana mwanamke au wanawake weupe wanampelekesha
[emoji2956]Nayapokea[emoji847][emoji847]
Na hawafilisi mwanaume...kuliko weupe
Ukiona mtu kafilisika Tu ujue ana mwanamke au wanawake weupe wanampelekesha
Mie maradhi yangu ni cheupe dawa kama wewe...[emoji39]
Tumewakosea nini wakuu! 😂😂😂Na hawafilisi mwanaume...kuliko weupe
Ukiona mtu kafilisika Tu ujue ana mwanamke au wanawake weupe wanampelekesha
Weupe [emoji106]
huyo mweusi wako ndio kakuzuzua... sema kila mtu ana taste yakeWanawake weusi wana kitu chao special dah... waliosema tuoe wake wawili hadi wanne na kuendelea hawakukosea.. unakuwa na mweupe mmoja weusi watatu [emoji4][emoji4]
Wadada weusi, sijui chocolate color, maji ya kunde etc chukueni [emoji257][emoji257][emoji257][emoji257]
Nina mweupe sasa hivi, ila naongeza mweusi mkuuhuyo mweusi wako ndio kakuzuzua... sema kila mtu ana taste yake
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wala usitupiganie, soko letu si gumu wala halijawahi kuwa gumu…Ona hata wasanii % kubwa madem/ wake zao ni weupe!!!
Nyie mnaoa weusi mnaanza kujatongoza wake zetu weupe, mwishoe mnatuua kwa presha 😄😄
Wadada weupe mko wapi nawapigania soko lenu huku nyie kimya!! Mmoja anionge upapa mweupe wenye v v u zi laiiini km vimalaika😄😄😄😄😄😄
ndio wewe huyo kwenye avatar?Napokea vizuri [emoji16]
Yule black beauty leo kakupa style gani mkuu?Wanawake weusi wana kitu chao special dah... waliosema tuoe wake wawili hadi wanne na kuendelea hawakukosea.. unakuwa na mweupe mmoja weusi watatu [emoji4][emoji4]
Wadada weusi, sijui chocolate color, maji ya kunde etc chukueni [emoji257][emoji257][emoji257][emoji257]
😅😅😅 kanipa DP WorldYule black beauty leo kakupa style gani mkuu?
Liwakute lolote tena😃😃😃😂😂naunga mkono hoja. Wanawake weusi nawaelewa sana, wengineo liwakute lolote.
Kiburi cha uzima hiki.Hizo kandambili hapo kifuani ni za kuogea ama?