Wanawali wa Kizulu vifua wazi kwenye runinga ya Afrika Kusini 2024!

Wanawali wa Kizulu vifua wazi kwenye runinga ya Afrika Kusini 2024!

Unadhani
sababu za kutokufikiwa/kukataa Christianity, kuna watu huhoji kwani tuliishije kabla ya Ukristo kuja? jibu ndiyo hilo kama hao uncivilized godless zulus, hata wanakula pets kama godless haitian wanaoamini voodo …
Ukristo ndiyo umeleta mavazi?
Je kabla ya ukristo waafrika wa zululand hawakuwa na mavazi?

Je, unadhani hivi sasa hakuna wazulu wakristo?
Je, kuwa mkristo ndiyo kuwa civilized?
 
Silalamiki wala!

After all, I am a man of culture 😉. Calling all other men of culture to congregate and appreciate nature’s magnificent creation.

Kumbe katika jina la utamaduni ni sawa kuonyesha matiti ya wasichana huko Afrika Kusini.


View: https://youtu.be/39m3Yq3jjD8?si=9brlOIxPSAG0g5iX

Hatuna muda na yasiyo na manufaa kwa taifa letu hasa muda huu muhimu wa kujua mbivu na mbichi za utekaji ,uuuwaji na dhuluma kwa wapinga ufisadi,utekaji na sii hasaaa mbovu hapa kweeetuu.
 
Silalamiki wala!

After all, I am a man of culture 😉. Calling all other men of culture to congregate and appreciate nature’s magnificent creation.

Kumbe katika jina la utamaduni ni sawa kuonyesha matiti ya wasichana huko Afrika Kusini.


View: https://youtu.be/39m3Yq3jjD8?si=9brlOIxPSAG0g5iX

Utamaduni ufungamana na jamii fulani. Jambo hilo kutokana na utamaduni wao, kwako inaweza ikawa vibaya lakini kwao isiwe hivyo.
Inawezekana kwao kichocheo cha ngono sio matiti na wala hayatumiki katika kufanya mapenzi labda wana vitu vyao vinavyowavutia zaidi kuliko sisi tunavyoshawishika na matiti.

NB: naishauri serikali tuanze kutembea kama wao. Ili tuje tuone kuwa ni viungo vya kawaida tu vya mwili. Kama tunavyoweza kuona pua, jicho, sikio nk
 
Hata kwapa ambalo limenyolewa. Full mzuka
Hilo vipi?

IMG_6371.jpeg
 
Back
Top Bottom