Wanawali wa Kizulu vifua wazi kwenye runinga ya Afrika Kusini 2024!

Wanawali wa Kizulu vifua wazi kwenye runinga ya Afrika Kusini 2024!

Utamaduni ufungamana na jamii fulani. Jambo hilo kutokana na utamaduni wao, kwako inaweza ikawa vibaya lakini kwao isiwe hivyo.
Inawezekana kwao kichocheo cha ngono sio matiti na wala hayatumiki katika kufanya mapenzi labda wana vitu vyao vinavyowavutia zaidi kuliko sisi tunavyoshawishika na matiti.

NB: naishauri serikali tuanze kutembea kama wao. Ili tuje tuone kuwa ni viungo vya kawaida tu vya mwili. Kama tunavyoweza kuona pua, jicho, sikio nk
Shauri na magereza yapanuliwe kabisa, au sheria za ubakaji ziwe amended
 
Bora hata hawa.Wazungu wapuuzi ndo wanashangaza zaidi;eti wanaona bora kuacha K wazi kuliko chuchu. Wanaficha sana chuchu na kuacha K wazi. Wana akili kweli wale? Kipi haswa kilipaswa kufichwa kwa gharama zote kati ya Chuchu na K?
 
sababu za kutokufikiwa/kukataa Christianity, kuna watu huhoji kwani tuliishije kabla ya Ukristo kuja? jibu ndiyo hilo kama hao uncivilized godless zulus, hata wanakula pets kama godless haitian wanaoamini voodo …
HashTag Back to our ancestors era
 
Moja kati ya mambo mazuri aliyofanya Nyerere ni kujenga urafiki na Mandela.

Sasa hivi ni visa free,

Mambo kama haya mazuri mtu unaweza shuhudia live bila chenga.
 
To each their own...

And for the evangelists and the other side (Muslims) out there who might bring the moral issue, I will remind them even Adam and Hawa / Eva according to the stories used to run around stark naked...

To reiterate to each their own....
 
Back
Top Bottom