Wanayanga hawamtaki Manara, kuna watu watarudisha kadi akiludi Yanga

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
I will be short

manara ni time bomb atakuja kuibomoa yanga as a big brand. hatakiwi hata Kusongea karibu na wachezaji wa yanga.

with big names in yanga huyu jamaa will destroy everything Hersi built in years of work.

mzee wangu na tawi lake. wanaplan ya kuludisha kadi. manara akiludi tu yanga.
mzee ni mwenyekiti wa tawi kubwa sana.

reason : manara hana elimu, hana akili , mpolopokaji, destructive, problematic, bad vibe person.

in short amtaki kabisa. it might cost a big problem kwenye general meeting. Hersi akigombea tena. wanaweza mtema kisa manara.

Hersi stay tf off manara. atakualibia kila kitu.

PIA SOMA
- Utata Kati ya Haji Manara na Ali Kamwe: Hofu na Athari za Uamuzi wa Kurejea kwa Manara kama Msemaji wa Yanga
 
Hakuna kitu kinakera kama kutumia L inapotakiwa iwepo R au kutumia R kwenye L inakera kichizi
 
Uandishi wako unatia aibu. Majina ya watu huanza Na herufi kubwa mwanzoni. Pia kwenye Kiswahili hamna neno ALUDI/ ASILUDI

Napenda kukushauri ujikite zaidi kwenye kuboresha ujuzi wako wa kiandika kwa lugha ya Kiswahili kuliko kujikita kwenye kufuatilia maisha ya watu
 
Manara Amekupagawisha Hadi kibodi Imekuwa nzito?
 
Mwambie huyu Mzee wako ambaye hataki kuzeeka arudishe hiyo kadi tuone kama yanga itapotea au la
 
Ila kaeleweka mlitaka aandikeje embu anaejua aandike kwa correction. Watu mnachukuliaga kuandika kitu poa sana ee??

Mkuu umejitaidi sema ujumbe umefika. Ila

Manara mbona yupo yanga kitambo tuu sema now yaani akirudi ndo makamera yanaruhusiwa kumrecord akisema neno yanga in public mbona🤕...
 
Yanga yenyewee inasemajeee kuhusu hilii wakuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…